Consultancy services

Consultancy services

AccproTz

Member
Joined
Nov 5, 2017
Posts
27
Reaction score
17
Kwa mahitaji ya kuandaliwa-
FINANCIAL STATEMENTS (annual retuns).
BUSINESS_PLAN

na huduma nyingine kama vile .
5ec7dc4b1a002e8e8d8d0c9da24df59b.jpg

Wasiliana nasi kupitia:-
0658 33 99 30 au 0762 06 88 39
Tupo ZANAKI STREET, posta Dsm
==========================
Karibu sana endapo utashindwa kutufikia offisini kwetu tupigie kupitia namba zetu hapo juu tutakufuata ulipo.
----------------------------------------------------
#TUNA_UZOEFU_WA_KUTOSHA
dccc105fcbb4731d45a198815e0c7366.jpg

======================
Updates

Ndugu mteja epuka kucheleweshewa kuandaliwa vitabu vya mahesabu na hatimaye kupigwa fine, wasiliana na sisi tukufanyie kazi kwa ufanisi na kwa kuzingatia mda. Tunajali mteja popote ulipo dar es salaam tuwasiliane hata mikoa ya karibu pia tutakufanyia kazi.
 
Nafahamu professional services hazitakiwi kutangazwa kimachinga hivi. Hapa kuna ukanjanja.
 
Nafahamu professional services hazitakiwi kutangazwa kimachinga hivi. Hapa kuna ukanjanja.
Zinatangazwaje ndugu, tunayotoa ni huduma lakin pia ni biashara na ili kuwafikia watu ni lazima ujitangaze, ww ni professional upo na office yako mteja ataijuaje huduma inayotolewa na office yako? Kama shida ni kuitangaza jf, humu jf kuna watu wa aina tofaut tofauti na kuna watu wanahitaji huduma zetu na hawajui watazipataje... Tumeitangaza humu ili kuwarahisishia watu watakao hutaji huduma na sisi tuna uzoefu wa kutosha, kuna watu ambao wako certified.... Niwaombe watu wote watakao hitaji huduma zetu tuwasiliane tu bei zetu ni nafuu sana... Karibuni ACCPRO CONSULT
 
Kwa mahitaji ya kuandaliwa-
FINANCIAL_STATEMENTS.
BUSINESS_PLAN.
5ec7dc4b1a002e8e8d8d0c9da24df59b.jpg

Wasiliana nasi kupitia:-
0658 33 99 30 au 0762 06 88 39
Tupo ZANAKI STREET, posta Dsm
==========================
Ukishindwa_kufika_tulipo utakufuata_ulipo.
----------------------------------------------------
#TUNA_UZOEFU_WA_KUTOSHA
dccc105fcbb4731d45a198815e0c7366.jpg
Hongereni sana ACCPRO CONSULT kwa kujitangaza, huduma zenu nilizipenda sana. Hawa jamaa waliniandalia hizo documents mwezi wa tano mwaka huu nilizikubali sana wala hazikunipa shida, pia bei zao ni nzuri mno... Ntawatafuta tena mwezi huu kwa ajiri ya hiyo financial statement....
 
Hongereni sana ACCPRO CONSULT kwa kujitangaza, huduma zenu nilizipenda sana. Hawa jamaa waliniandalia hizo documents mwezi wa tano mwaka huu nilizikubali sana wala hazikunipa shida, pia bei zao ni nzuri mno... Ntawatafuta tena mwezi huu kwa ajiri ya hiyo financial statement....
Ahsante karibu sana ndugu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom