Consider her as a bitch until proven otherwise!

Consider her as a bitch until proven otherwise!

Huwezi shindana na Mwanamke na ukashinda kwenye mahusiano, maadamu Mwanaume ndiye anayemfwata Mwanamke na Mwanamke kazi yake ni kukubali au kukukataa siku zote atakuwa hatua mbili mbele yako labda kama haujampenda.
Mahusiano na Mwanamke hayana ujanja kama kweli umempenda, ni swala la bahati tu kwamba na yeye awe amekuona hivyo na aamue kuplay fair, vinginevyo utaumia sana.
Hili swala mtu mmoja kumpenda mtu mwingine nimejila Ila nimeshindwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20191218-155123~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono mtoa mada kwa 100%mm kinachonisaidia huwa si invest saana kwa ke na ndo maana akiondoka mm sigeuki nyuma
 
Mimi nimeguswa hasa na No.3, wale wanaume wa hapo No.3 sijui kama mnalifahamu hilo kwakweli, mnachapiwa sana walaqhi'..!!

Nakazia, kuweni makini na No.3.!!
Ni mara ngapi umenicheat..?
 
Back
Top Bottom