Deva
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 1,238
- 1,819
Salaam.
1.Umekutana na mdada fulani tu moyo wako umemdondokea, kaa jinsi alivyo na muonekano wa kipole, jinsi alivyo mnyenyekevu, anavyokuheshimu nk.
2.Ukipiga hukuti simu yake iko busy, message anajibu kwa muda.
3.Hakuombi ombi hela japo anapendeza, na wewe unamsifia "Umependeza" bila kujua hela ya kusuka na nguo katoa wapi akavaa hadi akakuvutia wewe ukamuona, na unajua kabisa hukumuona wewe peke yako jinsi anavyovutia.
4.Hujui historia yake vizuri, umekutana nae leo kesho unataka mahusiano...namba yake kakupa barabarani or kwenye gari unajua kawapa wangapi, kama kakupa wewe kwanini wengine awanyime?
5.Na mengine mengi members mtaongezea
Una kila sababu ya kulizwa kama unayafanya hayo juu.
Wanaume tupunguze kuwaamini kina dada haraka haraka, hakikisha unawekeza sehemu sahihi kwanza.
Cha kufanya
1.Hakuna kutoa huduma yoyote kubwa, ambayo itakuathiri uchumi wako.
2.Usijibane kwa ajili ya mwanamke, unakopa unamrushia kumbe anaenda kuongezea anunue iphone 11 pro.
3.Hakuna kuamini kama hana mahusiano mengine zaidi yako.
4.Mengine mtaongezea.
Atleast tutapunguza nyuzi za vilio.
Devion
1.Umekutana na mdada fulani tu moyo wako umemdondokea, kaa jinsi alivyo na muonekano wa kipole, jinsi alivyo mnyenyekevu, anavyokuheshimu nk.
2.Ukipiga hukuti simu yake iko busy, message anajibu kwa muda.
3.Hakuombi ombi hela japo anapendeza, na wewe unamsifia "Umependeza" bila kujua hela ya kusuka na nguo katoa wapi akavaa hadi akakuvutia wewe ukamuona, na unajua kabisa hukumuona wewe peke yako jinsi anavyovutia.
4.Hujui historia yake vizuri, umekutana nae leo kesho unataka mahusiano...namba yake kakupa barabarani or kwenye gari unajua kawapa wangapi, kama kakupa wewe kwanini wengine awanyime?
5.Na mengine mengi members mtaongezea
Una kila sababu ya kulizwa kama unayafanya hayo juu.
Wanaume tupunguze kuwaamini kina dada haraka haraka, hakikisha unawekeza sehemu sahihi kwanza.
Cha kufanya
1.Hakuna kutoa huduma yoyote kubwa, ambayo itakuathiri uchumi wako.
2.Usijibane kwa ajili ya mwanamke, unakopa unamrushia kumbe anaenda kuongezea anunue iphone 11 pro.
3.Hakuna kuamini kama hana mahusiano mengine zaidi yako.
4.Mengine mtaongezea.
Atleast tutapunguza nyuzi za vilio.
Devion
unateseka sana na haya mawazo yako