mkuu ninaweza kukupa pattern za shanga na aina ya sole ukanitengenezea, maana nataka kwa jili ya sooko la nje hizo sole za kawaida hawazipendi ni nzitoTunauza viatu vya kimasai OG kwa bei ya kiwandani jumla na rejareja
Jumla ni 5000
Reja reja ni 7000
Tunapatikana mwenge na mikoani tunatuma bila shida yyte
Wasiliana nasi call/whatsap 0672904720
View attachment 1537754View attachment 1537758View attachment 1537756View attachment 1537755View attachment 1537757View attachment 1537759
Mkuu akikujibu nitagmkuu ninaweza kukupa pattern za shanga na aina ya sole ukanitengenezea, maana nataka kwa jili ya sooko la nje hizo sole za kawaida hawazipendi ni nzito
sawa mkuuMkuu akikujibu nitag
Hakuna ngozi hapo, huoni mkuu?Kama Ni ngozi halisi hiyo Bei yenu iko poa Sana...
Tunauza viatu vya kimasai OG kwa bei ya kiwandani jumla na rejareja
Jumla ni 5000
Reja reja ni 7000
Tunapatikana mwenge na mikoani tunatuma bila shida yyte
Wasiliana nasi call/whatsap 0672904720
View attachment 1537754View attachment 1537758View attachment 1537756View attachment 1537755View attachment 1537757View attachment 1537759
Hito ngozi itakua imported from china,,siku hizi handmade kandabili zote wanaziita viatu vya masaiMbona hiyo kama sii Masai?