Connection ni mtu au watu wanaokua ni wa kwanza kukujulisha nafasi ya kazi au umeona nafasi ya kazi kwenye kampuni fulani na haujui taarifa za nafasi hiyo so unatafuta mtu sio wa kukubeba lakini wa kukusaidia kupata taarifa sahihi toka.ndani ya kampuni ili uweze apply kazi husika au kama umekua shortlisted ili ufanye vizuri kwenye usahili.
Connections kwa upande wangu zinapatikana kwenye Mtandao wa LINKELDN ....ukijunga wale watu unaowaomba request hawawi followers wako kama instagram bali wanaitwa CONNECTIONS.
So huwa nashangaa sana mtu anakuja hapa jf analia lia naomba connections....mwenye connections.
Wakati LINKELDN kuna ma-HR, CEO's, MANAGERS, HOD's, Employers, experienced Emplyee wa makampuni mbali mbali hapa Tanzania...ila watu wanakomaa hapa JF ......
Na ukiwatumia ujumbe huko LINKELD wana reply........
Kule una uwezo wa kumtumia ujumbe mfupi MKUU yeyote wa kampunu, HR au staff yeyote na akakujibu.
Ila wajinga watakomaa kuomba connections sehemu ambazo sio sahihi.