Connection na ajira

Mkuu nje ya mada, zile pikipiki zetu za umeme tuachane nazo kwanza. Maintenance cost ni kubwa ingawa mafuta hutumii. Umeme mwingi na spares bei ghali sana hasa lile betri.
Hizo piki piki kwa sasa bei yake ikoje mkuu?
 
Lazima na wewe una connection nzuri, followers na unaowa follow wazuri na wa kutosha na uzoefu mkubwa huko LinkedIn

Ukikutana na connection waweza kuconnect wengine pia
Na mimi ambaye sina connections ninafanyaje kupata connections hapa mjini?
 
Mimi huwa naamini mtu anachosema ndio cha ukweli
Ila hiyo taxbubu yako isajili sasa..... Au unalipia shilingi 54 na senti 8 kila siku kama mimi?????
Siwezi kukudanganya my wangu. Ninaendesha CHASER AVANTE GX-100 tatizo engine ndio kubwa inakula sana mafuta ndio maana sipati faida.
 

Zungusha bahasha ya ajira ndio utajua coneksheni ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…