Mzalendo JR
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,193
- 515
- Thread starter
-
- #41
Watanzania wengi ni watumwa wa kiakili wanaamini Marekani ndio mwenye mamlaka na hii dunia na mwenye kutoa haki, ukisoma michango ya Watanzania wenzangu kwenye hii thread wengi wapo upande wa Marekani.
Marekani pamoja na mataifa makubwa ni wanyonyaji tu kwenye nchi masikini wanataka adui wao awe adui wetu pia na rafiki yao hata kama ni jambazi lazima tumkubali, Tanzania ana kosa gani kuzisajli meli za Iran nchini Tanzania na kutumia bendera yetu ni kosa sababu Marekani na washirika wake wameiwekea vikwazo Iran kwa sababu ya kurutubisha Uranium.
Mbona Urusi, China, Hong Kong, wamesajili meli za Iran na zinabeba mafuta Marekani imekaa kimya.
na hujajiuliza hiyo 'jeuri' mama Joyce Banda anaipata wapi!?mimi nafikiri kikwazo cha kwanza ni kumpiga stop JK asitie mguu wake USA na ULAYA...itakua ni fimbo tosha sana...
mimi nafikiri kikwazo cha kwanza ni kumpiga stop JK asitie mguu wake USA na ULAYA...itakua ni fimbo tosha sana...
uCHUMI WAKO HAUKURUHUSU KUFANYA HAYO UNAYOSEMA KWANI MWISHO WA SIKU MAREKANI NDIYO MJENZI WA BARABARA ZAKO.
HAYO UNAYOSEMA NI MWAFRIKA MMOJA TU ALIWAHI KUYAFANYA NAYE NI JULIUS KAMBARAGE NYERERE, YEYE ALITOKA NA SINGLE YAKE YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA NA WATANZANIA NA DUNIA WALIIMBA HIYO SINGO LEO KWA SERIKALI YENU DHAIFU LAZIMA MTII
kiranga, tatizo sio kunywea baada ya moto kuwa mkali, tatizo ni kwanini tulilianzishaaa??? Does it mean viongozi husika hawakuliona hilo au ni uzuzu wao???
lazima watawatumia waarabu?Kwa hiyo hata Chadema wakichuwa nchi lazima wawatumikie wazungu.
Kwa hiyo unatuambiaje? Tupigane nao au unahakika vikwazo vya USA haviwezi kuwa na madhara kwetu? Tuambie Cuba wakoje baada ya vikwazo? Na kama unaamini kwamba hivyo vikwazo havina madhara kama unavyotaka tukuamini kwa nini Iran yenyewe inatafuta njia za kukwepa kwa kusajili kisiri kwenye nchi zingine?
Mijitu mingine bana....! Huyo Jk mwenyewe kila siku ziara azke ni USA na siyo Iran, kwa nini?
We are not among those nations as Japan, China or Hong-Kong. Kumfungia China ni kuua uchumi wa USA indirectly but kwa upande wa Tanzania NI KUWAPUNGUZIA ziara za kuombwa misaada na utalii wa Ikulu kwao.
Kwa hiyo hata Chadema wakichukuwa nchi ni marufuku kuwapinga wazungu kweli hii misaada itatumaliza.
Halafu ukitaka kujua kwamba watu wengi wana humu wana IQ ndogo wanafurahia Tanzania kuwekewa sanctions na Marekani kana kwamba hizo sanctions zitamuumiza Kikwete na viongozi wenzake pamoja na familia zao, bila kujua kwamba hizo sanctions kama zikiwekwa atakayezidi kuumia ni huyo huyo mwananchi maskini wa kawaida pamoja na huyo anayeshangilia.Nakubaliana na wewe kabisa.Watanzania walio wengi ufahamu wao ni mdogo sana,they think the US is here to protect them.
Hawajui kwamba the US is here to finish them off.It's now time people understood the real intentions of the US government.Wanazungumza jambo moja halafu wanafanya lingine.These people can never be trusted.In short they are people you can't do business with.Lakini ni weke mambo wazi, it's the 1% that has problems,the 99% has got no problems,we are swimming in the same boat.
Kwa hiyo hata Chadema wakichukuwa nchi ni marufuku kuwapinga wazungu kweli hii misaada itatumaliza.
Halafu ukitaka kujua kwamba watu wengi wana humu wana IQ ndogo wanafurahia Tanzania kuwekewa sanctions na Marekani kana kwamba hizo sanctions zitamuumiza Kikwete na viongozi wenzake pamoja na familia zao, bila kujua kwamba hizo sanctions kama zikiwekwa atakayezidi kuumia ni huyo huyo mwananchi maskini wa kawaida pamoja na huyo anayeshangilia leo nchi yetu kuwekewa vikwazo, Kikwete na wenzake bado wataendelea na maisha yao mazuri tu, ila hata kile kidogo ambacho tumekuwa wananchi wa kawaida tukikipata pia kitatoweka!
Kwa nijuavyo msimamo wa JK ni kwamba Marekani wanawaonea wa Iran. Aliwahi sema kwenye hotuba moja mwaka huu kwa lugha ya kejeli kwamba eti wa Iran wanataka kuzalisha umeme wanazuiliwa wakihisiwa wanataka kutengeneza bomb la nuclear.
Support ya ku-Reflag meli za mafuta za Iran ina baraka zoote za JK na ndio maana yuko kimya haongei. Badala ya Rais kushabikia Iran kwa sababu tu ni nchi ya Kiislamu naomba aangalie upande mwingine wa shilingi ambao unahusu madhara watakayopata waTZ wa dini zote kama US itaamua kutuwekea Vikwazo vyovyote.
Namsihi ushabiki wa kidini usimpofushe akajikuta anawatoa sadaka waTZ huku yeye na familia yake wakiendelea na maisha matamu sehemu nyingine bila usumbufu.
spati picha maggogoni kunani!
Nampenda Kikwete, stress free,Wakati mwemzako yupo dom yeye diamond na orijino komedi wanazndua mradi wa tatu wa TASAF
Watanzania wengi ni watumwa wa akili, wanaamini Marekani ndio wenye mamlaka na hii dunia na mwenye kutoa haki.Ukisoma michango ya Watanzania wenzangu kwenye hii thread wengi wapo upande wa Marekani.
Marekani pamoja na mataifa makubwa ni wanyonyaji tu kwenye nchi masikini, wanataka adui wao awe adui wetu pia
Umepatia haswaa kuhusu Marekani na wenzao. Na ni kwa sababu hiyo hiyo Marekani haiwezi kuwa na haraka ya kuiwekea vikwazo Tanzania.na rafiki yao hata kama ni jambazi lazima tumkubali.
Tanzania ana kosa gani kuzisajili meli za Iran nchini Tanzania na kutumia bendera yetu ni kosa sababu Marekani na washirika wake wameiwekea vikwazo Iran kwa sababu ya kurutubisha Uranium.
Mbona Urusi, China, Hong Kong, wamesajili meli za Iran na zinabeba mafuta Marekani imekaa kimya?
Halafu ukitaka kujua kwamba watu wengi wana humu wana IQ ndogo wanafurahia Tanzania kuwekewa sanctions na Marekani kana kwamba hizo sanctions zitamuumiza Kikwete na viongozi wenzake pamoja na familia zao, bila kujua kwamba hizo sanctions kama zikiwekwa atakayezidi kuumia ni huyo huyo mwananchi maskini wa kawaida pamoja na huyo anayeshangilia leo nchi yetu kuwekewa vikwazo, Kikwete na wenzake bado wataendelea na maisha yao mazuri tu, ila hata kile kidogo ambacho tumekuwa wananchi wa kawaida tukikipata pia kitatoweka!