Congress tells Obama to sanction Tanzania and Tuvalu for helping Iran

Malawi na UK/US vs Tanzania na Iran/Oman! Mungu wa Abraham tunusuru manake tende zatukaba koo
 
Mbona tumefunga safari nyingi sana kwenda kuonana naye halafu anatugeuzia kibao?

This reminds me the fact that hawa jamaa hawana permanent friend wala enemy.

Mlionunua nyumba kule kwa kuchezea mali ya umma na kufikiria mtakuwa safe, hizi ni mvua za rasha rasha tu. Fikirieni mara mbili mbili. Dunia hii itawabadilikia mtashangaa wenyewe
 
Kiranga, tatizo sio kunywea baada ya moto kuwa mkali, tatizo ni kwanini tulilianzishaaa??? Does it mean viongozi husika hawakuliona hilo au ni UZUZU wao???

At this very point kuna maozo mengine kibao kama hili yanaendelea.

Huku wengine bado wanaimba.

"Chama chetu cha mapinduziii, chajenga nchi..."

SMH.
 
halafu eti tunawashangaa mababu zetu kina chifu magungo kutawaliwa na mkoloni,wakati tunarudia makosa yaleyale..kwani ugomvi wa marekani na iran unatuhusu nini sisi.?

Unless kama hukubaliani na ukweli kwamba sasa hivi tunaishi katika dunia mtandawazi! Nimesikia mara nyingi watawala wetu wakijivunia na kutamba kuwa tunafanya tunayoyafanya kwa sababu tu watandawazi. Utandawazi una faida na gharama zake na kwa bahati mbaya hauepukiki.
 
Our President is a very trickly person, he laugh at you.....huku anakuzunguka, amerika has to study him so well.

Hii operation ya stations za mafuta nyingi sana along the highways of each msikiti beside it ina mambo, His beloved son Ridhiwani became a young bilionea all over sudden..... So know, we Tanzania will weep and mourn bitterly just because of your hypocricy on this
 
Hii inaweza mpunguzia safari akapata akili za kufikiria kidogo.
 
Pamoja na haya MAGUNYA kutuingiza kwenye matatizo na BIG BROTHER bado eti yanatuwekea vizingiti kuingia Zanzibar eti lazima tuwe na passport SIC! Kwanini tusiyaache haya MAGUNYA halafu BIG BROTHER aya BOMB TO STONE AGE.

Kwa sababu akishayabomb magunya to stone age haitakuwa mwisho. Unajuwa kaanzia wapi. Iraq, afghanistan, libya, syria. Akimaliza kuyabomb magunya wewe utakuwa salama? labda uendelee kumramba mata** hadi yesu afufuke.
 
Malawi na UK/US vs Tanzania na Iran/Oman! Mungu wa Abraham tunusuru manake tende zatukaba koo

Hii itakuwa unfair fighting, in fact it will not be a fighting but a beating. Tanzania will be square beaten by Malawi.

Ni sawa na Francis Cheka kumpambanisha Kilitcho (sp?) World heavy weight champion.
 
Kwasababu akishayabomb magunya to stone age haitakuwa mwisho. Unajuwa kaanzia wapi. Iraq, afghanistan, libya, syria. Akimaliza kuyabomb magunya wewe utakuwa salama? labda uendelee kumramba mata** hadi yesu afufuke.

Kama ile HOLY COUNTRY Saudia Arabia inamusujudia na kuwalamaba miguu USA, Kwanini iwe taabu kwa Tanganyika ambayo Mtume wa Allah Mohammed SAW hakuwahi to set his foot?!.

The tricky here is to know which side of the bread is battered. And for sure if you're choosing Iranian side you are on the losing side!
 
Bana weee waweke hizo Sanctions mimi naziomba kila siku wazifanye tupate sababu ya kuwafukuza Barrick na mashirika mengine yote ya Kimarekani na Canada waloingia mikataba feki.

I know hawawezi kutuwekea vikwazo hata siku moja, hivi ni vitisho tu ambavyo wanajua wanatuibia zaidi ya kusajili meli. maana CNN ya Marekani hawazungumzii kabisa vitu hivi ila mnaletewa nyie ktk hiyo CNN International for Africa..CNN mnayoiona Ulaya na Afrika sio CNN inayoonekana huku matawi ya juu..

Kama ningekuwa JK ningewambia wekeni vikwazo halafu tuone? Mimi nashangaa mbona India na China wananunua mafuta ya Iran na hawaambiwi lolote wala kuwekewa vikwazo?..na wala sishangai tena kwa nini tulitawaliwa kwa miaka 500 na bado tumeachwa na Ujinga miaka 50 baada ya Uhuru.
 
Being super power sometimes is very exciting! Passing and enforcing laws internationally! It is well known that under normal circumstances one state can not pass laws to have effects on another state! But US does

All due to its universal economic and military might; worlds largest economy, worlds best fighting machine, worlds most advanced industrial and technological economy, tunabeba bakuli kwenda huko kuomba omba kila siku, you name it!
 
Someni vizurï sera ya mambo ya nje ya Tanzania.
Halfu someni ilani ya uchaguzi ya mwaka 2005-2010, hamtapata shida kuelewa kinachoendelea.
 
Mkandara

Element ya kwanza ya vikwazo huwa ni ban kwa viongozi wa nchi kutembelea nchi zilizowawekea vikwazo na marafiki zao. Kuna kiongozi wa Tanzania unamuona yuko tayari kupewa ban ya kutembelea Marekani na Uingereza?
 
Last edited by a moderator:
Our President is a very trickly person, he laugh at you.....huku anakuzunguka, amerika has to study him so well. hii operation ya stations za mafuta nyingi sana along the highways of each msikiti beside it
ina mambo, His beloved son Ridhiwani became a young bilionea all over sudden.....So know, we tanzania will weep and mourn bitterly just because of your hypocricy on this

Halfu utashangaa hakuna filling station iliyo na chapel kwa wateja wa kikistu, what a descrimination.kuwepo msikiti ni sharti la iran
 
Viongozi wa serikali ya CCM wamelewa madaraka kiasi cha kutoweza kufikiri tena. Maskini hawaoni mbali na hata sisi wananchi vipi mbona tumeendelea kuwapa madaraka kwa zaidi ya miaka hamsini? Zanzibar nao waache kutumia Muungano kwa faida yao huku wakijidai kuwa hawautaki.
 
Tatizo hapa ni uongozi wa Tanzania kutokuwa na msimamo. Zanzibar ndio waliosajili hizo meli za Iran kwa kutumia bendera ya Muungano. Rais wa Muungano hajakemea hili kuna nini? Kama ingekuwa Nyerere tungeshapata jibu zamani. Tanzania (Magogoni) inaiogopa Zanzibar ifanye inavyotaka hata kama wabara tutaingizwa katika matatizo?

Pengine katika duru za kidiplomasia nchi yetu ilishakubaliana na Merikani. Kwa nini tuwekewe vikwazo na Merikani kama hatujawekeana msimamo kuhusu mafuta ya Iran. Tanzania ilibidi iwe na msimamo thabiti kuwa itaisaidia Iran na si kwa uficho
 
Twafa mara the father US and kadogoo Malawi under the cover of British!!! tuepushe mbali. But they have investments in us and our VD is with them all the time!!! Kuna deal limefeli au? Nahisi lile la Kigamboni maana nasikia kuna hasira fulani hivi!!!
 
Obama na Wamarekani wajue kua Zanzibar sio Tanzania. Kwa hiyo wanayofanya zenji haituhusu, kama wanataka kutoa sanctions basi wawape serikali ya Zenji. Sisi watanganyika hatuna kosa lolote.

Ni sawa unavyosema lakini wazenji walipeperusha bendera ya Tanzania na si ya Zanzibar
 
Mkandara

Element ya kwanza ya vikwazo huwa ni ban kwa viongozi wa nchi kutembelea nchi zilizowawekea vikwazo na marafiki zao. Kuna kiongozi wa Tanzania unamuona yuko tayari kupewa ban ya kutembelea Marekani na Uingereza?
Mkuu Interest za marewkani na Uingereza hutangulia vitu vyote. Ukiona kiongozi amefungiwa kuingia marekani au Uingereza has everything to do with their interest investment nchini humo. Tumeyaona Zimbabwe kwa Mugabe hakuw ana mahusiano ya Iran wala Iraq, bali aliwakata mkono uendao kinywani.

Kesho tukiwafukuza Barrick utasikia vikwazo lakini sio swala la Iran wakati wamewekeza billions kwetu. Hawafanyi hivyo Saudia ambako hakuna demokrasia, Afghanstan sasa hivi ndio wanalima bwimbwi kuliko wakati wote, wangevunja uhusiano na Colombia kwa kupeleka Cocaine US na Ulaya nzima.. lakini hawawezi kufanya hivyo kutokana na ULAFI wa Utajiri kwa serikali zao zinatazama interest (faida) kwanza. Unga na sialha ni moja ya biashara kubwa sana Marekani kama vile tunavyoshindwa kuharamisha Pombe na sigara japokuwa tunajua zinaua watu wengi duniani kuliko Ukimwi.

Ningekuwa rais wa TZ mshikaji ningewambia Wakurya walime bangi na tuzisafirishe kwenda soko halali la Holland, walime chochote maadam kina soko nje na hakitumiki ndani hawa Marekani watakuwa marafiki wetu wakubwa maana wao ndio mateja wenyewe..
 
Back
Top Bottom