Congratulation to Demiss

utani hahaa sawa mkuu ujumbe umefika
 
Huyu dada naambiwa ndo MPOKEAJI MKUBWA HAPO DODOMA... WANA JF WENGI WAKIENDA DOM WANAKIRIMIWA NA DEMISS ANA MOYO WA UKARIMU SANA. binafsi nmeanza kuamini sababu kuna watu kadhaa wamenambia ukienda Dom mtafute tu demiss na namba zake nlipewa.

Aendelee na moyo huo huo wa kukarimu members wa JF. Hakuna kitu kibaya unaenda mkoani unafikia hotel au lodge huna mwenyeji... Unaona kama unapoteza tu pesa kulala pale. Ni bora uwe unalala stand au uwanja wa mpira
 
Aiseee
 
Dah...Chief mbona kurudisha usichana mchina analipisha buku 3 tu


Sent using Beretta ARX 160
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…