Mkandara,
Inawezekana unapoint lakini unashindwa kuchallenge hiyo ripoti kwa hoja kama zilivyotumika humo. Kumbuka kuwa huu ni utafiti na wala siyo hisia za mtu, kwa hiyo basi ninakushauri go back na kuchambua vianzilishi, viashiria nk vya utafiti ili ujenge hoja zenye nguvu. Kukataa utafiti bila ya kufanya utafiti sidhani kama ni sahihi.