Cong: Mpiga kinanda wa kanisa la K-ndege Dom

Cong: Mpiga kinanda wa kanisa la K-ndege Dom

kzba

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,355
Reaction score
790
Huyu jamaa ni kiboko na ni mbunifu asiye na mpinzani na kanivutia mpaka siku hz nahudhulia kanisani kila juma pili kutokana na ubunifu wake wa kupiga kinanda kwa kutumia tune za za makabila na hata nyimbo mbalimbali za kidunia na kuleta ladha tofauti katika uimbaji wa misa takatifu, mfano leo;

Tumeingia kanisani na nyimbo yenye tune ya Makhilikhili. Hatujakaa vizuri kagonga nyimbo tune ya nyimbo za kigogo
Baadae kidogo tune ya fullstop ya bibie malkia wa mipasho Ile tunatoka ndo kaua kabisa na kitu cha #CHEKECHA CHEKETUA #KING kiba ndo akanikosha zaidi.

Huyu jamaa ni hatareeeee.
 
Umeamua tu! kuleta vichekesho hakuna kitu km hicho,mbona hautaji Kanisa?.
 
Kwahiyo mkuu unafata kinanda church na sio ibada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom