Kuna jamaa aliniambia alichaguliwa na WANAWAKE kwani alipokuwa waziri wa mambo ya ndani alitoa AMRI kwa waliokuwa SUNGUSUNGU mtu akimpiga mke wake analala ndani siku 14,,there after ndo unapelekwa kwa PILATO,,,,hii kitu iliwafanya wakina mama wafurahi saana na ndio maana mpaka aingie kaburini hawatamsahau