Source: JamboNetwork.comSHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limelazimia kurudisha kondomu zilizoingizwa nchini kutoka Korea baada kondomu hizo kugundulika kuwani ndogo.
Akizungumza katika ziara ya Waziri Mkuu, Edward Lowassa, Mtaalamu Mwandamizi wa Maabara wa TBS, Mary Mlembe alisema kuwa kondomu hizo ziliingizwa nchini kutoka nchini Korea zikuwa fupi na hivyo kutofaa wa watanzania.
Mlembe ambaye alikuwa akitoa maelezo kwa Waziri Mkuu juu ya ubora wa kondomu na jinsi ya kuzifanyia uchunguzi alisema baada ya kufanyiwa uchunguzi kondomu hizo ziligundulika kuwa zilikuwa hazikidhi viwango vya kimataifa vinavyokubalika kwani zilikuwa fupi.
"Kuna wakati TBS tulipokea Kondomu kutoka nchini Korea lakini baada ya kuzifanyia uchunguzi tuligundua kuwa hazikidhi viwango vya kimataifa kwa kuwa zilikuwa fupi ulikinganisha na urefu unaohitajika," alisema Mlembe.
Alisema katika kupima ubora wa kondomu hizo TBS hutumia viwango vilivyowekwa kimataifa ambavyo vinakubalika na nchi mbalimbali.
Alisema kwa sasa viwango vinavyokubalika kimataifa ni urefu usiopungua nchi 160 na kuendelea na upana wa nchi 53 wakati unene unatakiwa kuwa sentimita 0.07.
Hawa watu wanaoleta bidhaa kutoka nje wanafikiri watu wote duniani wana viwango sawa? Labda kama zingekuwa kwajili ya watoto wa shukle za msingi!!!!
Nani kati yenu aliyajua hayo?! lol
Hapa dada alikosea na kumpotosha waziri mkuu.uchunguzi kondomu hizo ziligundulika kuwa zilikuwa hazikidhi viwango vya kimataifa
Hapa dada alikosea na kumpotosha waziri mkuu.
Alipotosha kitu gani hapo...
Hapa nilipo nakuna kichwa tu, hizo kondomu zingetengenezwa Bongo au Afrika sijui kama zingewatosha watu wa Korea.... au ndiyo hivyo tena, zinge wapwaya?!!
Angesema ni fupi ingetosha!
AM sure hiyo standard ya kimataifa anayoizungumzia, kama zinawatosha wabantu basi ujue hawa jamaa wa korea zitakuwa buga (substandard), and the viceversa.
Duuh, eti zitakuwa 'buga', ... ha ha ha ha.. mbona wewe kasana mtundu wa maneno sana.. lol
btw, buga ni neno linalotokana na neno baggy au?!
Labda alikuwa na maana ya millimeters...Hivi ni macho yangu ama nimesoma vibaya? Kuna mpini wenye urefu wa nchi 160? Yaani hapa tunaongela urefu wa zaidi ya futi 12, ni condom gani yenye urefu huo? Halafu upana nchi 53 (zaidi ya futi 4)! Huyu dada nadhani kachanganya vipimo, maana hata kama ni sentimita bado ni size ya ajabu sana!
Asians wana vidudu vidogo sana ukilinganisha na watu wa sehemu nyingine na Afirika mnangoza kwa kuwa na mipini mirefu na mikubwa kwa hiyo hawa wakorea hawakukosea kwani wametengeneza kulingana na size za kwao. Didude vidogo kama vidole!!!
Kwa maelezo na elimu zaidi tembelea hapa chini.
http://www.average-penis-size-chart.com/african-caucasian-oriental.html
Hivi ni macho yangu ama nimesoma vibaya? Kuna mpini wenye urefu wa nchi 160? Yaani hapa tunaongela urefu wa zaidi ya futi 12, ni condom gani yenye urefu huo? Halafu upana nchi 53 (zaidi ya futi 4)! Huyu dada nadhani kachanganya vipimo, maana hata kama ni sentimita bado ni size ya ajabu sana!
Buga na bagi ni tofauti, cheki buga inavyookuwa, angalia zaidi upana wake hapo chini..
teh teh teh...Hapa nilipo nakuna kichwa tu, hizo kondomu zingetengenezwa Bongo au Afrika sijui kama zingewatosha watu wa Korea.... au ndiyo hivyo tena, zinge wapwaya?!!