Condom inasaidia wakuu

Mwanaume yoyote yule anayetumia Condoms huwa namdharau na namwona POPOMA / MPUMBAVU aliyetukuka kabisa.
Id zinaficha mambo mengi sana. Unaweza kukuta Huyu jamaa ni mbebez mkarez you know! A mbebez in disguise.!
 
Kweli kabisa kuna mtaa mmoja nilihamia nilikua nakaa kwa Bro hela yangu haikuwa na kazi kuna kahaba mmoja akawa anatamani Mturuki zangu basi na mimi nikaingia mkenge alikula hela zangu nyingi bila kula mzigo basi nakumbuka j pili moja akanambia dogo leo makpa mzigo nakumbuka siku iyo niltumia laki nzima ile tunaingia gest demu akanambia dogo kanunue condomm nilipo maliza kupga mech akanambia ana ngoma hasingependa kuniua kijana wa watu nikiwa cna hata mtoto
 
Wanawake wana roho za huruma sana ila sie wanaume uwa hatujali n mara nyingi ndo tunaogoza kuusambaza
 
Naona umeamua upotoshe watu wajamiane ovyo. Jali nafsi za watu mkuu.
Hayo tuu. Waliokuiga wako wapi?
 
Pole
 
Wanawake wana roho za huruma sana ila sie wanaume uwa hatujali n mara nyingi ndo tunaogoza kuusambaza
Si kweli kwa kifupi hakuna mwenye roho nzuri hata wanaume ni mle mle kwani hao wanawake si wanaupata ukimwi kutoka kwa wanaume au wapi?
 
boya kabisa utakulaje pipi na maganda yake UKIMWI ni kama dhana tu ukiufikiria unaupata...
Natamani sana nikutukane lakini sipati tusi. Nyie washenzi ndio mnaharibu maisha watu. nyumbu ww
 
Group C? Mkuu kuna damu ipo ndani ya grup kama hilo
 
wewe ni wapekee,inabid uwe specimen,tukulipe tukufanyie utafiti,unaweza ukawa ufumbuzi wa dawa ya ugonjwa huu...kama kwel uliyoandika lakin.
 
Natamani sana nikutukane lakini sipati tusi. Nyie washenzi ndio mnaharibu maisha watu. nyumbu ww
Endelea tu kukariri.....lakini wanjanja kama sisi hatutishiki na mambo ya ukimwi. Ukimwi sio ugonjwa ni upungufu wa kinga mwilini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…