Mr Eko
Member
- Aug 29, 2008
- 21
- 0
- Thread starter
- #21
johnj
Faida inayopatikana kwenye mauzo ya hizi computer si kubwa. Ukisafirisha computer 5 tu hiyo faida ndogo haitakuwepo tena. Unaweza kutafuta wenzio wawili, kila mmoja akichukua computer 8, mipango ya kufikishiwa mzigo wenu itafanywa.
Ikitokea mtu kaagiza computer 30 Morogoro, hapo sio ngumu nawe kuletewa computer zako 5.
Nimeeleza namna ambavyo unaweza kupata website yao. Huko kuna kila kitu ikiwemo email n.k. Anayetafuta hupewa.
Nashukuru wamiliki wa hii forum kunivumilia kwa kuwekwa tangazo langu hapa.
Faida inayopatikana kwenye mauzo ya hizi computer si kubwa. Ukisafirisha computer 5 tu hiyo faida ndogo haitakuwepo tena. Unaweza kutafuta wenzio wawili, kila mmoja akichukua computer 8, mipango ya kufikishiwa mzigo wenu itafanywa.
Ikitokea mtu kaagiza computer 30 Morogoro, hapo sio ngumu nawe kuletewa computer zako 5.
Nimeeleza namna ambavyo unaweza kupata website yao. Huko kuna kila kitu ikiwemo email n.k. Anayetafuta hupewa.
Nashukuru wamiliki wa hii forum kunivumilia kwa kuwekwa tangazo langu hapa.