Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Jamani nimefanya kila niwezalo, nimegoogle nimedownload kila kitu!!!
lakini bado..
computer yangu niki shut down ina hang tu hapo kwenye black screen afta imeshasema Shutting down. Yani nikitaka kuzima lazimma nibonyeze kitufe cha kuwashia, manually!
Sijui nifanyeje zaidi..saivi sa tisa na asubuhi sijalala..nisaidieni tafadhali!!
*am nt close to any XP CD apa..
Ni Acer Travelmate 4330.
lakini bado..
computer yangu niki shut down ina hang tu hapo kwenye black screen afta imeshasema Shutting down. Yani nikitaka kuzima lazimma nibonyeze kitufe cha kuwashia, manually!
Sijui nifanyeje zaidi..saivi sa tisa na asubuhi sijalala..nisaidieni tafadhali!!
*am nt close to any XP CD apa..
Ni Acer Travelmate 4330.