Umeongea kitu cha maana sana kuhusu Cloud Computing mkuu. Wasiwasi wangu ni kwamba taasisi zinazoendeshwa kifisadi hazitakuwa tayari kuhamia huko maana watu wateweza hack nyaraka nyeti. lakini 10 to 15yrs to come nafikiri itakuwa hakuna jinsi lazima tuelekee hukoKwani katika kila mradi tumekua tukitafuta consultants kutoka nchi za nje,tukinunu software kutoka nje kwa kisingizia kuwa proffessionals katika eneo hilo hakuna wakati tunaruhusu certifications kam OCA,MCSTP etc, na kuwaita watu wenye vyeti hivyo kuwa eti ndo MaICT gurus. Sijui tutafika wapi na changamoto mpya ya CLOUD computing ambapo watu wote waliosoma IT watakua ni watazamaji kwa sababu maanalist na maprogrammer wa MArekani, India, Uingereza na kwingineko wataweza kutoa support hukohuko walipo kwa kutumia clremote login.
Ukweli ni kwamba kutengeneza commercial software kwa viwango vinavyokubalika kimataifa ni jambo gumu. unaweza tengeneza software inayofanya a b c kwa kampuni au taasis A. its ok, kwa sababu its unlikely kwamba itaonwa na kutumiwa nje ya hiyo taasisi A. lakini kutengeneza ambayo inauzwa kibiashara its not a joke my friend. There are a lot of things that need to be considered and handled accordingly eg multi user support, session handling, security, easy of use, modularization etc. Haya mambo yote hatafundishwa universities za Tz. Kimsingi mwanafunzi anayemaliza chuo computer science au IT or Whats ever they call it, anakua amejifunza introduction tu kumuwezesha kusomea kazi. Bahati mbaya hapa kwetu wakipata hicho ki degree ndo wanajiona wamefika. Software industry hapa bongo bado sana. We need to do something.
Ukweli ni kwamba kutengeneza commercial software kwa viwango vinavyokubalika kimataifa ni jambo gumu. unaweza tengeneza software inayofanya a b c kwa kampuni au taasis A. its ok, kwa sababu its unlikely kwamba itaonwa na kutumiwa nje ya hiyo taasisi A. lakini kutengeneza ambayo inauzwa kibiashara its not a joke my friend. There are a lot of things that need to be considered and handled accordingly eg multi user support, session handling, security, easy of use, modularization etc. Haya mambo yote hatafundishwa universities za Tz. Kimsingi mwanafunzi anayemaliza chuo computer science au IT or Whats ever they call it, anakua amejifunza introduction tu kumuwezesha kusomea kazi. Bahati mbaya hapa kwetu wakipata hicho ki degree ndo wanajiona wamefika. Software industry hapa bongo bado sana. We need to do something.
Nimeona watu wanataja hesabu. Je ni hesabu gani hizo unazohitaji kujua kuwa programmer mzuri. Is it Logic mathematics au trigonometry ?
Binasfi nilipass tu programming. NIna theoretical knowledge ya programming nzuri tu lakini practical applicatin na experince mhhhh. Na hili nadhni ndio tatizoletu wengi.
Kingine nilikuja kugundua material nzuri za programming online baada ya kumaliza kanmumbas college na kuichukia programming.
Nadhani kama una nia ,muda , internet na muongozo( mwalimu vitabu video). Cha mwisho baada ya hayo yote ni kujaribu na kufanya coding kwa language yeyote.
Ukweli ni kwamba kutengeneza commercial software kwa viwango vinavyokubalika kimataifa ni jambo gumu. unaweza tengeneza software inayofanya a b c kwa kampuni au taasis A. its ok, kwa sababu its unlikely kwamba itaonwa na kutumiwa nje ya hiyo taasisi A. lakini kutengeneza ambayo inauzwa kibiashara its not a joke my friend. There are a lot of things that need to be considered and handled accordingly eg multi user support, session handling, security, easy of use, modularization etc. Haya mambo yote hatafundishwa universities za Tz. Kimsingi mwanafunzi anayemaliza chuo computer science au IT or Whats ever they call it, anakua amejifunza introduction tu kumuwezesha kusomea kazi. Bahati mbaya hapa kwetu wakipata hicho ki degree ndo wanajiona wamefika. Software industry hapa bongo bado sana. We need to do something.
Hoja hujibiwa kwa hoja. Nimeupenda uchambuzi wako.Heshima yako ndugu Rutunga M,
Hakuna kinachoshindikana, tatizo ni watu wenye mawazo kama yako.. Kama havijawahi fanyika, haimaanishi havitafanyika.. Ingependeza kumshauri hatua anazotakiwa chukua..
Binafsi ni Programmer though bado ni medium programmer.. Wakati naanza kusoma Computer science, nilipata changamoto kadhaa, baada ya watu kunishauri kuwa Programming ni ngumu.. Kutokana na Syllabus ya chuo changu, kulikua na mambo ya Programming kibao.. Automatically nimejikuta nimeipenda Programming sana tena sana, kutokana na the way walimu wangu walivonifundisha, na interest niliyo nayo katika Programming.. Sio maeneo hayo tu, hata katika maeneo mengine ya System Analysis, System & Database design and Implementation..
Kuwa Best Programmer sio lazima uweze kutengeneza System softwares kama OS nk. Kuna mambo mengi yanaweza fanyika katika Programming..
Nilichokuja kukigundua katika Programming ni kwamba, inategemea na eneo husika la Programming.. Ila kitu cha msingi sana katika programming ni analytical,creative,Mathematics skills na Logic.. Especially kwenye designing and implementation of a system..
Pia tutambue kuwa, Programming zote zinahusiana.. Mfano ukiangalia Hardware Programming (Programming of Micro Processors), Games Programmings (C/C++ graphics), Robotics, Web Programming, Desktop apps Programming kuna vitu vinavyo bind hizi lugha pamoja... Logic za maeneo haya zinahusiana sana, cha msingi ni basic knowledge..
Dunia ya IT ya sasa, inajitahidi ku implement IDE's ili kuweza kuokoa muda wa ku code Programs (Component Technology, Pattern Technology) na pia sasa tuna-shift kwenda kwenye Distributed Network Objects (eg.. CORBA, etc).. Kwa hiyo ukiwa kwenye realtime, sio lazima uanze coding from the scratch.. IDE's zimetengenezwa, kwa ajili ya ku-implement kutengeneza softwares..
Programming is all about logic.. First, Believe kwambba Program flani inawezekana kutengenezwa... Kitachofata ni namna ya kufanya hicho kitu..
Kwa mtazamo wangu, Programmer wengi wa kibongo sio kwamba hawawezi kufanya mambo makubwa HAPANA, nasema HAPANA.. Shida yetu kubwa wengi tunasoma huku tukifikiria swala la ajira.. Unakuta mtu, anasoma huku akifikilia, je akimaliza shule yake ataweza kuwa placed katika kampuni itakayomlipa??
Kuna hizi wanazoziita Certifications kama (OCA,OCP,CCNA,CCNP) na nyingine kibao.. Kwa mtazamo wangu, zinachangia kwa namna moja nyingine kuua morali ya vijana katika maeneo kama haya ya Programming.. Kwa nini nasema hivi? Kampuni kama CISCO kwa sasa, wanaingiza pesa sana katika mitihani kama hiyo.. Ofcoz, kwa upande mwingine, hizi Certifications ni mhimu kwa sababu zinatumika kama Proof, ila kwa upande mwingine vijana wengine hawa concentrate kufanya vizuri katika maeneo yao kwa sababu wanawaza kufanya tu mitihani hii ili waweze pata kazi nzuri. Maana Kampuni nyingi zina imani kuwa mtu akiwa na certifications, ndio anafaa.. Binafsi sipingi Certifications, ila certification bila Ujuzi ni useless..
Wabongo wengi tunapenda maisha ya mkato katika mafanikio, so hatutaki kutumia skills zetu kufanya innovative activities, kwa sababu tunaona ni wastage of time.. Na hii ni kama nilivosema awali, wengi wanasoma ili wapate kazi, na si kusoma ili Ujue vitu.. But hakuna kinachoshindikana..
Kwa hiyo ndugu mwanzisha thread, kama u really like Programming, ni wewe tu.. Cha msingi jipime kwanza..
Jiulize maswali yafuatayo:
1. Do you have Analytical skills? au je waweza fundishika Analytical skills?
2. Do you have Creative skills? au je waweza fundishika Creative l skills?
3. Do you know Mathematics and Logics??
4. Je, unataka kusoma ili upate kazi(Kwa ajili ya kipato) au unasoma Ujue vitu??