Computer kutumia Bando kinyume na Matarajio

Computer kutumia Bando kinyume na Matarajio

Dah hii kitu di wa kutumia bando la 500 imenifanya niichukie window 10 hakuna raha ya computer tena
 
Tumia Tinnywall Firewall! Ukisha Install Weka Option Ya Block All! Then Nenda Kweny Whitelist Ruhusu Program Unazotaka Kutumia Internet Mfano IDM, OPERA, UTORRENT Zingine Zima! Bac Uta Enjoy Bundle Lako Vizur! My Friend Unaweza Kuweka Moderm Ukalala Mpaka Asubuhi Ukakuta MB Zero Zimetumika!! Tafuta Tinnywalk Mkuu Hutajutia Ni Free Software

Sent using Jamii Forums mobile app

Asante saana mkuu, ngoja niitafute.
 
Ndugu wana jamvi, salamu.

Nina laptop aina ya dell yenye windows 10 pro inatumia bando vibaya saana. Nimejaribu ku deactivate updates zote zinazoweza kufanyika automatically lakini sijafanikiwa kutatua tatizo.

Mara ya mwisho nimenunua 2GB za data lakini zimeisha ndani ya nusu saa kwa kuperuzi kurasa za kawaida mitandaoni(hakuna faili lolote kubwa nililoshusha)

Naomba yeyote mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie.

Natanguliza Shukrani!
Angalia apps zinazorun background kwa kufungua Task manager kisha disable hizo apps simple tu.
 
Toka Windows 10 ilipotoka nilijua hilo litakuwa tatizo. Shida ni kwamba kuzima updates ni changamoto sana kwenye win10 kwa mtu asiejua computer vizuri.
 
Andika "msconfig" enter fungua service tafutata neno "intelligent buckgroud transfer" ondoa untick.
 
Nimeshazima zote hizo mkuu
Na windows 10 ilivyo ya kipuuzi sio kama windows 7 ukizima update kwa muda mrefu utakuja kushangaza window inazingua na badae utakuja ku corupt,kubali tu kuwa lazima kuna siku uwe unaweka bando la kutosha just kwa kazi hyo tuu kama unataka kuendelea kuitumia windows 10

Sent using Jamii Forums mobile app
 
window 10 hii nahisi ni spay maana ukizingua kuipa update Kwa muda inakuja zingua nazani inakula bando sababu ya kutuma taarifa zetu huko Kwa walioitoa
 
window 10 hii nahisi ni spay maana ukizingua kuipa update Kwa muda inakuja zingua nazani inakula bando sababu ya kutuma taarifa zetu huko Kwa walioitoa
 
Hapo tatizo ni updates, hyo computer yako itakuwa ina update kimya kimya programs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom