Rais Wa Malofa
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 688
- 796
Ndugu wana jamvi, salamu.
Nina laptop aina ya dell yenye windows 10 pro inatumia bando vibaya saana. Nimejaribu ku deactivate updates zote zinazoweza kufanyika automatically lakini sijafanikiwa kutatua tatizo.
Mara ya mwisho nimenunua 2GB za data lakini zimeisha ndani ya nusu saa kwa kuperuzi kurasa za kawaida mitandaoni(hakuna faili lolote kubwa nililoshusha)
Naomba yeyote mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie.
Natanguliza Shukrani!
Nina laptop aina ya dell yenye windows 10 pro inatumia bando vibaya saana. Nimejaribu ku deactivate updates zote zinazoweza kufanyika automatically lakini sijafanikiwa kutatua tatizo.
Mara ya mwisho nimenunua 2GB za data lakini zimeisha ndani ya nusu saa kwa kuperuzi kurasa za kawaida mitandaoni(hakuna faili lolote kubwa nililoshusha)
Naomba yeyote mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie.
Natanguliza Shukrani!