Computer hii ni pasua kichwa (msaada tafadhali)

Computer hii ni pasua kichwa (msaada tafadhali)

gwambali

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
230
Reaction score
76
Habari wakuu Kheri ya mwaka mpya.

Nina computer yangu Hp Compaq (hp D330 ut) hii ndio kila kitu kwangu nikiaanisha ndio naitegemea kufanyia kazi zangu.

mwezi ulio kipa ilianza tatizo lakuzima kila baada ya lisaa limoja kuzima kwenyewe nikwamba screen inazima na kusema no signal lakini cpu inafanya kazi na uki-press botton ya start/off ataushilikie kwa dakika 10 haizimi hadi uchomoe power cable au kuzimia ukutani..

Na ukizima CPU ina waka ila hamna signal yoyote inayokwenda kwenye monitor. ili iwake ni lazima niiache hadi masaa matatu ya pite ndipo itawaka tena, na mchezo unakua huo huo...


Hivi majuzi haifikishi tena lisaa limoja ndio izime bali kwa sasa inazima baada ya dakika 2 tu baada ya kuwaka vizuri kabisa.

Hatua nilizochukua nimeifungua na kujaribu kucheck feni inafanya kazi nimekuta iko vizuri kabisa na mashine ndani haina vumbi kabisa. Nimebadilisha ram, Power Supply lakini wapi bado tatizo liko pale pale. na sina hakika kama ni processor...

Naomba mnipa msaada/ushauri wenu wakiufundi ili niwezekujua tatizo ni nini hasa.
 
Wakuu mbona kimya? msaada wenu unahitajika hapa.
 
Habari wakuu Kheri ya mwaka mpya.

Nina computer yangu Hp Compaq (hp D330 ut) hii ndio kila kitu kwangu nikiaanisha ndio naitegemea kufanyia kazi zangu.

mwezi ulio kipa ilianza tatizo lakuzima kila baada ya lisaa limoja kuzima kwenyewe nikwamba screen inazima na kusema no signal lakini cpu inafanya kazi na uki-press botton ya start/off ataushilikie kwa dakika 10 haizimi hadi uchomoe power cable au kuzimia ukutani..

Na ukizima CPU ina waka ila hamna signal yoyote inayokwenda kwenye monitor. ili iwake ni lazima niiache hadi masaa matatu ya pite ndipo itawaka tena, na mchezo unakua huo huo...


Hivi majuzi haifikishi tena lisaa limoja ndio izime bali kwa sasa inazima baada ya dakika 2 tu baada ya kuwaka vizuri kabisa.

Hatua nilizochukua nimeifungua na kujaribu kucheck feni inafanya kazi nimekuta iko vizuri kabisa na mashine ndani haina vumbi kabisa. Nimebadilisha ram, Power Supply lakini wapi bado tatizo liko pale pale. na sina hakika kama ni processor...

Naomba mnipa msaada/ushauri wenu wakiufundi ili niwezekujua tatizo ni nini hasa.
Kuna uwezekano mkubwa kuwa Capacitors zitakuwa zimeumuka.
 
Uliifanya nini ikaanza haya matatizo?

Nilikuwa kwenye kazi zangu za kila siku za kawaida tu... na kwa kipindi chote hicho hakuna software niliyoweka wala kutoa vile vile hakuna hardware yoyote niliyoweka.
 
Kuna uwezekano mkubwa kuwa Capacitors zitakuwa zimeumuka.

Nimejaribu kucheck la kini sijaona capacitor yoyote iliyo umuka mkuu... au haiwezekani kuona kwa macho?
 
Habari wakuu Kheri ya mwaka mpya.

Nina computer yangu Hp Compaq (hp D330 ut) hii ndio kila kitu kwangu nikiaanisha ndio naitegemea kufanyia kazi zangu.

mwezi ulio kipa ilianza tatizo lakuzima kila baada ya lisaa limoja kuzima kwenyewe nikwamba screen inazima na kusema no signal lakini cpu inafanya kazi na uki-press botton ya start/off ataushilikie kwa dakika 10 haizimi hadi uchomoe power cable au kuzimia ukutani..

Na ukizima CPU ina waka ila hamna signal yoyote inayokwenda kwenye monitor. ili iwake ni lazima niiache hadi masaa matatu ya pite ndipo itawaka tena, na mchezo unakua huo huo...


Hivi majuzi haifikishi tena lisaa limoja ndio izime bali kwa sasa inazima baada ya dakika 2 tu baada ya kuwaka vizuri kabisa.

Hatua nilizochukua nimeifungua na kujaribu kucheck feni inafanya kazi nimekuta iko vizuri kabisa na mashine ndani haina vumbi kabisa. Nimebadilisha ram, Power Supply lakini wapi bado tatizo liko pale pale. na sina hakika kama ni processor...

Naomba mnipa msaada/ushauri wenu wakiufundi ili niwezekujua tatizo ni nini hasa.

Je haina tabia ya ku stack au feni kupiga kelele? Kama ina hizo tabia basi processor ina overheat. Otherwise jaribu kubadili processor na uweke thermal grease ya kutosha
 
Hiyo ni processor mkuu jarbu kubadili processor
Mkuu Smartbrain ,Nashukuru sana kwa usahuri wako, niko mbioni kutafuta processor nyingine...

Je haina tabia ya ku stack au feni kupiga kelele? Kama ina hizo tabia basi processor ina overheat. Otherwise jaribu kubadili processor na uweke thermal grease ya kutosha

Mkuu ymollel, inaelekea nitapata ufumbuzi wa tatizo la hii mashine, kwani ni kweli Themal Grease imebaki kidogo sana kwenye processor na heat sink.Je naweza kupata wapi hiyo thermal grease? Hai-stack ila inapowaka kwa dakika 1 na kufika hadi desktop hapo ndipo screen go off kwa ku blik blik mwanga unafifia na hapo hapo inaleta ujumbe wa No signal kwenye screen..

Na ukipress botton ya Ku-switch off haifanyi kazi hadi uchomoe power cable....

Natumai umeelewa maelezo yangu vizuri.
 
uciingie gharama kaka copy kila ki2 kwenye external drive then ingiza windows upya yaani clean installation
 
Mkuu Smartbrain ,Nashukuru sana kwa usahuri wako, niko mbioni kutafuta processor nyingine...



Mkuu ymollel, inaelekea nitapata ufumbuzi wa tatizo la hii mashine, kwani ni kweli Themal Grease imebaki kidogo sana kwenye processor na heat sink.Je naweza kupata wapi hiyo thermal grease? Hai-stack ila inapowaka kwa dakika 1 na kufika hadi desktop hapo ndipo screen go off kwa ku blik blik mwanga unafifia na hapo hapo inaleta ujumbe wa No signal kwenye screen..

Na ukipress botton ya Ku-switch off haifanyi kazi hadi uchomoe power cable....

Natumai umeelewa maelezo yangu vizuri.

Thermal grease ni muhimu sana. Arusha zinapatikana ila sijacheki bei hivi karibuni.

Effects of heat kwa baadhi ya processors:
Celeron - when overheat it will burn out.
AMD- will burn out and blow even with flame
Pentium III and older- will burn
Pentium 4 and above- doesnt burn easily it will shut down. Its a deffense mechanism.
 
Wakuu, Stefano Mtangoo, KAJICHO KIVULI, GAZETI, Smartbrain , ymollel , shiny c

Nashukuru sana kwa kutijitolea kwenu mda wenu na kunipa ushauri wa jinsi ya kutatua tatizo langu. Nilifanya vitu karibia vyote mlivyo nishauri ikashindikana... Tatizo ni kwamba motherboard ilikuwa inapata moto sana kwenye baadhi ya vifaa na siyo processor. Hivyo nimelazimika kubadilisha board yote. nimeweka nyingine used Thinkpad Lenovo. nimeipata kwa tsh 40,000 ikiwa na processor ya 3.0 Ghz inatumia ram za DDR-2 na sasa mashine inapiga kazi vizuri sana kwa ufanisi wa hali ya juu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom