Inategemea na kazi unayotaka kufanya nayo, brands nzuri ni pamoja na HP au DELL, kwa pc used nyingi zinaanza na 190000 mpaka 350000 inategemea na ukubwa wa processor, RAM na HARD DISC DRIVE. Sema una sh ngapi nikutafutie nzuri.
Inategemea na kazi unayotaka kufanya nayo, brands nzuri ni pamoja na HP au DELL, kwa pc used nyingi zinaanza na 190000 mpaka 350000 inategemea na ukubwa wa processor, RAM na HARD DISC DRIVE. Sema una sh ngapi nikutafutie nzuri.
Mkuu,
Nimeona niendelee kukujibu hapa hapa hadharani ili na wengine waweze ku-take chance. Nimepata:
DELL OPTIPLEX GX240 ina:-
Processor: 1.8 GHz Intel Pentium 4
RAM: 512 MB
HDD: 40 GB
Inasoma DVD na CD, ina burn CD tu.
Screen/Monitor: Flat screen 17''
Bei ni laki 2 kamili na inahusisha technical support muda wote. Kwa matumizi ya kawaida yasiyohusisha games inatosha kwa wanafunzi wa primary.
Ukiipenda njoo PM, usipoipenda wanajamvi wapo hapa kuendelea kukusaidia
Kaka pc za laki 2 hazina afya bora uongeze mshiko hadi 350K utapa:-
Dell Optiplex 745(Tower)
- intel core 2 duo 1.86 GHz processor
-1GB or 2GB of RAM
-HDD 160gb
-Flat screen 19"
DVD-RW