Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 203
Nina cpu ya compaq with built-in speakers. Kila ninapowasha inawaka kwa kama sekunde 30 then inatoa sauti ya beeping mara mbili halafu inazima. Baada ya hapo inaonyesha kuwaka lakini screen blank. Itakaa hivyo mpaka mwisho. Wadau kibao wameshindwa. Nitashukuru SAANA. Ahsanteni.