COMMUNITY DEVELOPMENT

COMMUNITY DEVELOPMENT

mmolh

Member
Joined
Apr 27, 2019
Posts
16
Reaction score
1
Wanajamii hv ukitoa kuwa afisa maendeleo ni kazi nyingine inatokana na hii kozi na vp private.
Na ukifanikiwa kumaliza diploma vp unaweza kujiunga na degree ya sheria
 
Wanajamii hv ukitoa kuwa afisa maendeleo ni kazi nyingine inatokana na hii kozi na vp private.
Na ukifanikiwa kumaliza diploma vp unaweza kujiunga na degree ya sheria
Huwa nawatamani sana waliosoma hizi Course. Japo sijui uhalisia wa ajira ukoje. Ila huwa naona NGO's nyingi zinahitaji watu waliosoma hizo courses. Kuna Social Works pia n.k.

Ukipata shavu kwenye international organisation yoyote basi ushatusua maisha. Maana intern tu kukulipa +1M huwa hawaoni kazi
 
Huwa nawatamani sana waliosoma hizi Course. Japo sijui uhalisia wa ajira ukoje. Ila huwa naona NGO's nyingi zinahitaji watu waliosoma hizo courses. Kuna Social Works pia n.k.

Ukipata shavu kwenye international organisation yoyote basi ushatusua maisha. Maana intern tu kukulipa +1M huwa hawaoni kazi
Kwahyo swala la ajira zake zipo nyingi na hata private pia unaweza kuapply
 
Ata mimi nataman xn kusoma ii course..je n chuo gan kinatoa iii course..na km umemaliza kdt cha sita unaruhusiwa kuanzia degreee?
 
Vp kuhusu chuo kizuri kwa maeneo ya dar es salaam nitaweza pata mkuu ili mwaka uu nijarb ku aply msadaa tafadhari...au chuo chochote kinachotoa koz izo za maendeleo ya jamii plz
 
Vyuo vipo vingi ila degree nazani kama Tengeru Institute of Community Development itakuwa poa
 
Hili kozi kwa uchumi wa Magu utaishia kuwa mwana harakati wa kisiasa tu!
 
Back
Top Bottom