SINGLE RASHID
Member
- Nov 8, 2012
- 71
- 15
Mbunge wangu Mnyika natumaini umzima na unaendelea vizuri.!!
Najua kuwa una mambo mengi ya kutufanyia sisi watu wako wa Ubungo lakin mimi leo nakuomba utusaidie ili si unajua kuwa kata nyingi huku haswa maeneo ya Manzese zinaongwa na MAGAMBA,sasa kila leo ni michango mipya..tulikuwa na mchango wa TAKA TAKA kila room 1000., ulinzi sungusungu 1000, sasa kuna 300 kila room ya usafi wa mitaro.....wasi wasi wangu tukikaa kimya linakuja la kuvuka barabara jero 500 na kuwasha taa barazani 100..
Haya ndo maisha bora kwa kila roho ya KITANZANIA?
Najua kuwa una mambo mengi ya kutufanyia sisi watu wako wa Ubungo lakin mimi leo nakuomba utusaidie ili si unajua kuwa kata nyingi huku haswa maeneo ya Manzese zinaongwa na MAGAMBA,sasa kila leo ni michango mipya..tulikuwa na mchango wa TAKA TAKA kila room 1000., ulinzi sungusungu 1000, sasa kuna 300 kila room ya usafi wa mitaro.....wasi wasi wangu tukikaa kimya linakuja la kuvuka barabara jero 500 na kuwasha taa barazani 100..
Haya ndo maisha bora kwa kila roho ya KITANZANIA?