Nonji Member Joined Nov 22, 2017 Posts 25 Reaction score 8 Jun 28, 2019 #1 Habari wakuu? Niende kwenye mada, Hivi form six aliyesoma HGE chuo kikuu atasoma coz gani? Natanguliza shukurani zangu kwenu maana nategemea kupata majibu mazuri.
Habari wakuu? Niende kwenye mada, Hivi form six aliyesoma HGE chuo kikuu atasoma coz gani? Natanguliza shukurani zangu kwenu maana nategemea kupata majibu mazuri.
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 97,076 Reaction score 136,498 Jun 28, 2019 #2 Sa si uwaulize huko chuo kikuu...
sumbai JF-Expert Member Joined Jun 16, 2014 Posts 20,890 Reaction score 47,611 Jun 28, 2019 #3 economics Account Banking Tax Business admnistration Finance Vitu ni ving saana. Angalia interest yako ipo wapi. Chukua tcu guide book ya mwaka husika angalia vigezo zaidi.
economics Account Banking Tax Business admnistration Finance Vitu ni ving saana. Angalia interest yako ipo wapi. Chukua tcu guide book ya mwaka husika angalia vigezo zaidi.
Nonji Member Joined Nov 22, 2017 Posts 25 Reaction score 8 Jun 29, 2019 Thread starter #4 sumbai said: economics Account Banking Tax Business admnistration Finance Vitu ni ving saana. Angalia interest yako ipo wapi. Chukua tcu guide book ya mwaka husika angalia vigezo zaidi. Click to expand... Ahsante sana mkuu!!
sumbai said: economics Account Banking Tax Business admnistration Finance Vitu ni ving saana. Angalia interest yako ipo wapi. Chukua tcu guide book ya mwaka husika angalia vigezo zaidi. Click to expand... Ahsante sana mkuu!!
Nonji Member Joined Nov 22, 2017 Posts 25 Reaction score 8 Jun 29, 2019 Thread starter #5 Nonji said: Ahsante sana mkuu!! Click to expand... Naamini pia ninyi mna utaalamu wa mambo ya ajira ni coz gani ambayo ina possibility kubwa ya kupata ajira?
Nonji said: Ahsante sana mkuu!! Click to expand... Naamini pia ninyi mna utaalamu wa mambo ya ajira ni coz gani ambayo ina possibility kubwa ya kupata ajira?
Mwanambugulu JF-Expert Member Joined May 26, 2017 Posts 683 Reaction score 856 Jun 29, 2019 #6 Kwa bongo unasoma chochote
S Sherusheru09 Member Joined Jun 28, 2019 Posts 7 Reaction score 0 Jun 29, 2019 #7 Nonji said: Naamini pia ninyi mna utaalamu wa mambo ya ajira ni coz gani ambayo ina possibility kubwa ya kupata ajira? Click to expand... Kwa saivi ajira ni ngumu kwa course nyingi so soma unachokipenda tu
Nonji said: Naamini pia ninyi mna utaalamu wa mambo ya ajira ni coz gani ambayo ina possibility kubwa ya kupata ajira? Click to expand... Kwa saivi ajira ni ngumu kwa course nyingi so soma unachokipenda tu
isaacsendama Member Joined Feb 21, 2016 Posts 76 Reaction score 21 Jul 2, 2019 #8 Nonji said: Habari wakuu? Niende kwenye mada, Hivi form six aliyesoma HGE chuo kikuu atasoma coz gani? Natanguliza shukurani zangu kwenu maana nategemea kupata majibu mazuri. Click to expand... Mm pia nimexoma hyo comb na ninategemea kwnda kuxomea course ya loustics and transport management nackia inalipa ila wigo wa ajira ndo cjajua imekaaje
Nonji said: Habari wakuu? Niende kwenye mada, Hivi form six aliyesoma HGE chuo kikuu atasoma coz gani? Natanguliza shukurani zangu kwenu maana nategemea kupata majibu mazuri. Click to expand... Mm pia nimexoma hyo comb na ninategemea kwnda kuxomea course ya loustics and transport management nackia inalipa ila wigo wa ajira ndo cjajua imekaaje
isaacsendama Member Joined Feb 21, 2016 Posts 76 Reaction score 21 Jul 2, 2019 #9 isaacsendama said: Mm pia nimexoma hyo comb na ninategemea kwnda kuxomea course ya loustics and transport management nackia inalipa ila wigo wa ajira ndo cjajua imekaaje Click to expand... Ni logistics
isaacsendama said: Mm pia nimexoma hyo comb na ninategemea kwnda kuxomea course ya loustics and transport management nackia inalipa ila wigo wa ajira ndo cjajua imekaaje Click to expand... Ni logistics