Bouja
Senior Member
- Mar 19, 2019
- 173
- 127
Habar wakuu
Nashukuru mungu nmepata nlicho muomba nmepangiwa comb ya pcm sasa nilikua naomba mnipe mbinu za kufaulu comb hii acha na ya kupiga msuri iyo nimeshajiandaa
Napenda nijue natakiwa niwe na nn?? Nisome nn zaid(nataka kua engineer) na nini ctakiw kufanya
Nashukuru mungu nmepata nlicho muomba nmepangiwa comb ya pcm sasa nilikua naomba mnipe mbinu za kufaulu comb hii acha na ya kupiga msuri iyo nimeshajiandaa
Napenda nijue natakiwa niwe na nn?? Nisome nn zaid(nataka kua engineer) na nini ctakiw kufanya