Pamoja na UDOM kuwa chuo cha kata ila ndani yake kuna college mbalimbali za MTAA, sasa college zote wamepata boom kasoro college mbili ambazo ni za mitaa, College of Earth Science COES na Humanity, Wakati wanafunzi wa Humanity wakienda kujiuza bungeni kama walivyorekodiwa na clouds FM juzi kuwa wanaenda kujipanga maeneo yanayotembelewa na wabunge, Wenzao wa COES wako wanashindia maandazi na mikate pale info. Ndio maisha Ombeni mungu tu na nyie ipo siku mtapata boom mtatesa.