Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Zamani ukinywa Coca yaani unahisi utamu na ulimi unachomachoma hadi raha, sasa hivi micoca yenu zero inanichefua balaa, imepoaa, haina hekaheka ulimini! Imepoa kama Pepsi yaani ni kama ufananishe kuku wa kienyeji na wa kizungu (kila mtu atafsiri awezavyo). Coca ya sasa hivi haina utamu wala ladha mnatukera wapenzi wa Coca, turudishieni ile ladha ya zamani.
Pia na ile Sparletta mpya ina ladha mbaya kAMA mkojo wa punda, komeni kubadilisha vitu bila kuishirikisha jamii!
La mwisho kwa wenye bar, hivi inakuwaje mchana wa saa7 unaagiza kinywaji unaletewa cha moto? Unaletaje bia ya moto kwa mteja? Serikali itutenge na nyie mnatutenga? Binafsi nimeudhika sana nimeghafirika sana! Yaone kwanza!
Pia na ile Sparletta mpya ina ladha mbaya kAMA mkojo wa punda, komeni kubadilisha vitu bila kuishirikisha jamii!
La mwisho kwa wenye bar, hivi inakuwaje mchana wa saa7 unaagiza kinywaji unaletewa cha moto? Unaletaje bia ya moto kwa mteja? Serikali itutenge na nyie mnatutenga? Binafsi nimeudhika sana nimeghafirika sana! Yaone kwanza!