Coaster za Mbeya - Dar@Hakuna Kulala

Coaster za Mbeya - Dar@Hakuna Kulala

Hizi gar ni msaada sana.km umekuja zako dar ijumaa kwa kujiiba bila likizo,bc j2 unapanda zako saa 9 jioni mpk asbh uko mbeya na unawahi ofcn km kawaida.ww huoni km ni msaada tosha?kwani ww umepanda kwa ajili ya kulala au kusafiri?na pia hakuna aliyelazmishwa bali wenye haraka zao na shida za usafir ndo wanazifata.
 
Mtoa uzi amezungumzia upande mmoja tu wa madhara yanayoweza kupatikana, je anatamani wamiliki wa coaster hizo wapate vibali ili waendelee kusaidia abiria hao wanaotumia huo usafiri au anataka wabanwe waache hiyo biashara?
 
Mimi ningeshauri zile gari za IT , zisiruhusiwe kutembea usiku , naona ndio zinazoongoza kwa ajali .
 
acha wivu wa kike ulilazimishwa upande
toka enzi zipo zinatusaidia sisi wajasiriamali asubui uko dar jioni unarudi Mbeya ushafunga mzigo wako wewe unakuja na ngonjera zako
 
Mbona usafiri wa ndege ni almasi Tz kwanini tuko masikini hivi
 
Kwanini kusiwepo ndege zinaenda mara 5 kwa siku
 
Natamani na ziwepo pia za Dar-Mwanza, au zipo wakuu?
 
Nimewahi panda Coaster angalau zina usalama kuliko Noah!!

inategemea mkuu,,mm kuna siku nlifika pale uyole nkakuta kuna costa mbili na noah 1 ya mwisho,,nafsi ikakataa kbs kupanda zile costa nkapanda noah halaf km km 300 mbele tukakuta costa imeanguka na imeua watu kbao na ile costa ingne tukaipita.
 
Mtoa uzi amezungumzia upande mmoja tu wa madhara yanayoweza kupatikana, je anatamani wamiliki wa coaster hizo wapate vibali ili waendelee kusaidia abiria hao wanaotumia huo usafiri au anataka wabanwe waache hiyo biashara?
Wabanwe wafuate taratibu zote za usafirishaji Sambamba na kutumia madereva wenye sifa sio hawa day worker wasiojitambua hata wakikanywa hawaelewi ni kibri tupu
 
Coaster zinapiga makelele tu zikikanyagwa sana ila hazikimbii kihivyo ndio maana hazipati ajali hovyo
Umekremishwa ndugu coaster 1hdt 24 valves unaijua?hakuna basi wala cruiser(hardtop)ya kuisogelea
 
Back
Top Bottom