CNN na maswali ya kijinga!

CNN na maswali ya kijinga!

Ralphryder

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
5,599
Reaction score
1,798
Ni kipindi cha GPS, eti mtangazaji FAREED ZAKARIA, anajifanya kushangaa kwa nini arab uprisal haina viongozi wanawake! Mbona haulizi kuhusu Israel!
 
Ni kipindi cha GPS, eti mtangazaji FAREED ZAKARIA, anajifanya kushangaa kwa nini arab uprisal haina viongozi wanawake! Mbona haulizi kuhusu Israel!

Alipataga suspension 2 months a go fareed.His show is about to be cancelled anyway
 
Sijui Fareed alimaanisha nini hasa kwa swali lake lakini kama ni juu ya mchango wa wanawake kuwa mbele katika harakati dhidi ya udhalimu wa tawala zao katika hiyo arab spring mfano ni Bi Tawakkul Karman yule raia wa Yemen ambaye hata kamati ya tuzo za nobel iliutambua mchango wake.
 
Back
Top Bottom