CNN: 'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country

Wamezaa kumi ndiyo hawa watoto wao wanakimbilia mjini kuwa mahouse girl na mahouse boy, wengine ndiyo hawa ombaomba. Sasa mtu kama huyu anayeombaomba na watoto watano alikuwa na ulazima gani wa kuzaa? Angefunga kizazi akatulia zake angeonekana hajakamilika? Kama mtu huna uwezo wa kutunza na kuhudumia its better ufe bila mtoto kuzaa its not mandatory. Hata biblia inaposema enendeni duniani mkazaliane haimaanishi kila mtu lazima azae, ndiyo maana kuna manabii na mitume wengi tu walikufa bila watoto.
Hao wanawakimbia watoto wao ndio wafanye birth control maana hawana uwezo wa kuwatunza.
Halafu nimegundua unachangia tuuu hata wala hukumsikiliza Magufuli alicho ongea... una dandia tuu
 
List of countries by future population (United Nations, medium fertility variant)
From Wikipedia, the free encyclopedia


Jump to navigationJump to search
This is a list of countries by future population using the medium variant (which is the recommended one), ranging from 2020 to 2100 in decades or ten-year periods, as estimated by the 2017 revision of the World Population Prospects database by the United Nations Population Division. All figures are rounded and given in thousands.


List of countries by future population (United Nations, medium fertility variant) - Wikipedia
 
This a shame to our nation, yoyote angesema lkn asingekua Raisi wetu, inaonyesha Raisi kwamba hana international exposure.
International exposure ya kitu gani ? Uzazi wa mpango? Ana national exposure ya ukweli kwamba watanzania tunazaana sana ! Na hizo contraceptive methods baadhi zimeonekana kuwa na side effects nyingi kwa akina mama kiafya na hata uzazi wao. Ni heri anaesema ukweli kuliko anayejidanganya ! Na huko Marekani kwenyewe kuna maeneo ya conservatives wanazaa mpaka watoto kumi ! CNN haitangazi hayo mara nyingine.

Mtu mwenye nguvu na uwezo wa kufanya kazi na kutunza familia kwa nini asizae? Hao wachina wenyewe sasa hivi wanaachana na one child policy japo wako wengi. Sio kila sera inayotungwa na wazungu ni relevant kwetu wakati mwingine tunalazimika kuzikumbatia ili tupewe misaada! Hivyo ni lazima sana tupambane na umaskini ili kuepuka utegemezi wa mataifa ya nje kwa njia ya kuomba omba unaotulazimu kukubali kila sera na programu kwa wananchi wetu hata kama zinaenda kinyume na mila zetu.
 
Hao ndio vyombo vya habari za kimataifa kukiwa shwari wanakaa kimya.

Wanasubri wakati muafaka wanashambulia.

Aibu ingine baadhi ya watanzania tunajivika zile sanamu na mbele ya vyombo hivi tukishirikiana navyo kushehereka.

Likipta hili baadhi ya watanzania hao wanavua hizo sanamu na wanarudi kuwa wa kawaida na wanasubiri tena.
 
Hao wanawakimbia watoto wao ndio wafanye birth control maana hawana uwezo wa kuwatunza.
Halafu nimegundua unachangia tuuu hata wala hukumsikiliza Magufuli alicho ongea... una dandia tuu
Siyo mimi sikumsikiliza yeye bali yeye ndiyo hajataka kusikiliza kampeni ya uzazi wa mpango inataka nini. Uzazi wa mpango nia yake ni kila mtu azae watoto anaoweza kuwatunza kama una uwezo wa kutunza watoto 20 vizuri zaa tu. Sasa yeye anasema chapeni kazi na mfyatue watoto tu huu ni upuuzi, utazaaje bila kujipima na kujua uwezo wako wa kulea upoje? Na kwa mfano ukajua unauwezo wa watoto saba utazaaje saba bila usaidizi wa uzazi wa mpango je ukizidisha?

Tatizo hamjaelewa hata kampeni ya uzazi wa mpango ni nini, hatuwezi kuishi kwa kubahatisha tuenende kama mang'ombe sisi ni binadamu. Mungu ametupa utashi na Mungu wetu ni Mungu wa utaratibu lazima tuwe na mpango mkakati katika kila jambo. We have to plan everything maisha yetu lazima yaende kwa mpangilio mimi nilishakataa watoto wa bahati mbaya na wa kushitukizwa najua lini napata mtoto na nani. Siyo umekutana na mwanamke huko hata haeleweki mimba tayari.
 
International exposure ya kitu gani ? Uzazi wa mpango? Ana national exposure ya ukweli kwamba watanzania tunazaana sana ! Na hizo contraceptive methods baadhi zimeonekana kuwa na side effects nyingi kwa akina mama kiafya na hata uzazi wao. Ni heri anaesema ukweli kuliko anayejidanganya ! Na huko Marekani kwenyewe kuna maeneo ya conservatives wanazaa mpaka watoto kumi ! CNN haitangazi hayo mara nyingine.

Mtu mwenye nguvu na uwezo wa kufanya kazi na kutunza familia kwa nini asizae? Hao wachina wenyewe sasa hivi wanaachana na one child policy japo wako wengi. Sio kila sera inayotungwa na wazungu ni relevant kwetu wakati mwingine tunalazimika kuzikumbatia ili tupewe misaada! Hivyo ni lazima sana tupambane na umaskini ili kuepuka utegemezi wa mataifa ya nje kwa njia ya kuomba omba unaotulazimu kukubali kila sera na programu kwa wananchi wetu hata kama zinaenda kinyume na mila zetu.
Umewahi ishi au tembelea kijijini na ukaona maisha ya watu wanaozaa bila mpango .watoto sita chumba kimoja mlo nusu kwa siku na mzazi anawaficha wasiguse shule? Zaeni kama simbilisi Jiwe atawasomesha na kuwanunulia mpaka pedi
 
Hao ndio vyombo vya habari za kimataifa ukkiwa shwari wanakaa kimya.

Wanasubri wakati muafaka wanashambuia.

Aibu ingine baadhi ya watanzania tunajivika zile sanamu na mbele ya vyombo hivi tukishirikiana navyo kushehereka.

Likipta hili baadhi ya watanzania hao wanavua hizo sanamu na wanarudi kuwa wa kawaida na wanasubiri tena.
Kwanini uvilaumu vyombo vya habari kwa kuandika habari, kwa nini usilaumu source yenyewe ambaye ni Magufuli kama asingesema CNN wangeandika nini.

Labda kama ni kuvilaumu tuvilaumu iwapo vitaandika habari ya uongo.
 
Imeandikwa; "enendeni mkazaliane mkaongezeke mkaijaze dunuia",....... waacheni watu wazaliane wapendavyo, kwani ni agizo la MUNGU na siyo agizo la wanadamu. Waacheni Watanzania wazaliane mpaka mayai ya uzazi yaishe, ninyi CNN hangaikeni na Rais wenu "chizi" Donald Trump!
Alisema mkazaliane hakusema lazima kila mtu azae na wala hakusema uzae kumi, hata ukizaa mmoja au wawili umezaliana, usipozaa pia upo sahihi. Ndiyo maana Mtume Paulo alishauri Kama hutaki kuingia kwenye ndoa ruksa hii inamaana kutokuzaa pia siyo dhambi maana uzinzi ni dhambi.
 
He is african president..exposure ndio itajenga sgr, exposure itanunua ndege..zamani hakukuwa hata na madawa ya uzazi..siku hizi imekuwa mateso kwa wanawake..mara kansa za mlango wa uzazi, mara fibroids..lengo ni kuendelea kupunguza waafrika..huku unaambiwa usizaliane..unapewa dawa za kumalizwa..
kama anaweza japo kwa kuthubutu. mwambieni awafukuze wale UNFPA pale mikocheni ndo mjue kama nyie ni nchi yenye eneo kubwa la kiutawala au kajinchi kanakoongozwa na vichaa vichaa hivi
 
Rais wetu Mpendwa Dr. Pombe on CNN tena kwa mabaya. Tumekuwa kichecho cha Dunia. Tena Front Page

https://www.cnn.com/2018/09/11/africa/tanzania-birth-control-magufuli-intl/index.html

'Don't use birth control,' Tanzania's President tells women in the country






171106174324-magufuli-speech-exlarge-169.jpg


Tanzanian President John Magufuli urges citizens to keep reproducing.
(CNN)Tanzania's President John Magufuli has told women in the East African nation to stop taking birth control pills because the country needs more people, according to local media reports.
"Women can now give up contraceptive methods," Magufuli said.
"Those going for family planning are lazy ... they are afraid they will not be able to feed their children. They do not want to work hard to feed a large family and that is why they opt for birth controls and end up with one or two children only," he said at a public rally on Sunday.
He was quoted in a local newspaper, The Citizen, as saying that those advocating for birth control were foreign and had sinister motives.


Magufuli urged citizens to keep reproducing as the government was investing in maternal health and opening new district hospitals.

Tanzania's anti-corruption crusader cracks down on opponents

The United Nations Population Fund (UNFPA) representative for Tanzania, Jacqueline Mahon, was present when Magufuli made his comments, reports said.
CNN has reached out to the UNFPA for comment but did not immediately receive a response.
"I have traveled to Europe and I have seen the effects of birth control. In some countries they are now struggling with declining population. They have no labor force," the Citizen newspaper quoted him as saying.
Follow CNN Africa on social media
Read the latest news from Africa and share your thoughts with us on Facebook, Twitter and Instagram
Tanzania's population is around 53 million people, and 70% of them living on less than $2 a day, according to a 2015 World Bank report.
"You have cattle. You are big farmers. You can feed your children. Why then resort to birth control?" he asked. "This is my opinion, I see no reason to control births in Tanzania," Magufuli, who has two children, said.
Opposition MP Cecil Mwambe criticized the President's comments, saying they were against the country's health policy.
President Magufuli is known as 'The Bulldozer' for his tough stance against corruption and his hardline policies, which include denying education to schoolgirls who become pregnant.

John Magufuli, the no-frills President who declared war on waste

In another development, the speaker of the Tanzanian parliament banned female lawmakers from wearing fake nails and eyelashes in parliament.
"With the powers vested in me by the Constitution of the United Republic of Tanzania, I now ban all MPs with false eyelashes and false finger nails from stepping into Parliament," Job Ndugai said, a day after Magufuli's comments.
The new rules also ban women MPs from wearing short dresses and jeans. Female visitors to parliament are also expected to adhere to the dress code.

apart of loosing MANPOWER, what about other Negativities of using artificial birth control tech's?...
tujiandae kuongeza idadi ya wagonjwa wa mifumo ya uzazi.. endapo TUTAEGAMIA katika ARTIFICIAL BIRTH CONTROL TECH'S
 
Umewahi ishi au tembelea kijijini na ukaona maisha ya watu wanaozaa bila mpango .watoto sita chumba kimoja mlo nusu kwa siku na mzazi anawaficha wasiguse shule? Zaeni kama simbilisi Jiwe atawasomesha na kuwanunulia mpaka pedi
Mkuu waache wazae tutawaanzishia tuzo ya uzaaji bora.

Huwa najiuliza mtu mmoja watoto kumi ili iweje? Kwani ni sifa? Ukiuliza utaambiwa ooh wazazi wangu wasingezaa wengi nisingekuwepo so what? Usingekuwepo ungepungukiwa nini? Ushajiuliza wasiokuwepo wanashida ipi?

Tuacheni fujo zaa mtoto mmoja wawili au watatu wahudumie vizuri, enjoy maisha yako.
 
He is african president..exposure ndio itajenga sgr, exposure itanunua ndege..zamani hakukuwa hata na madawa ya uzazi..siku hizi imekuwa mateso kwa wanawake..mara kansa za mlango wa uzazi, mara fibroids..lengo ni kuendelea kupunguza waafrika..huku unaambiwa usizaliane..unapewa dawa za kumalizwa..
Tatizo lenu mnafikiri chochote anachosema rais ni sahihi, hata akikosea mtajitahidi kumtafutia tu maneno twa kumpamba ili aonekane hajakosea, sidhani kuwa hiyo ni njia sahihi ya kumsaidia,

Tanzania ina kampeni ya uzazi wa mpango nchi nzima na inasimamiwa na wizara ya afya kwa niaba ya serikali inayoongozwa na Magufuli mwenyewe na rais anaidhinisha bajeti ya kampeni hiyo, nina imani siku ile angesema anaunga mkono uzazi wa mpango sidhani kama leo ungempinga.
 
Hakuna baya lolote alilosema JPM maana hamna MTU atakayepangiwa azae watoto wangapi ila JPM alitoa tu maoni yake tatizo lenu nyie wakosoaji mligeuza Ile hotuba ajenda yenu ya kisiasa badala ya kuangalia uhalisia wa hotuba yenyewe.
 
Umewahi ishi au tembelea kijijini na ukaona maisha ya watu wanaozaa bila mpango .watoto sita chumba kimoja mlo nusu kwa siku na mzazi anawaficha wasiguse shule? Zaeni kama simbilisi Jiwe atawasomesha na kuwanunulia mpaka pedi
Sio tu kutembelea! Nimekaa kijijini miaka mingi tuu na usemayo sio mageni kwangu ! Suluhisho sio kuwafunga vizazi hao wa mama au kuwalazimisha matumizi ya njia za uzazi wa mpango! Suluhisho ni kuboresha kipato na maisha yao na kuwapa elimu. The question of family planning linakuja automatically when you improve people's lives and educate them. Kwa hiyo ni wajibu wa serikali kuhakikisha inapanga na kutekeleza programu mbalimbali zenye lengo la kunyanyua kipato cha watu (kutoka hicho cha 2$ a day) ili kukidhi mahitaji yao ya chakula na elimu. Vile vile kuboresha Huduma za afya hasa maeneo ya vijijini kwa kujenga zahanati na hospitali ili kupunguza vifo hasa vya akina mama wazazi na watoto wadogo wa chini ya miaka mitano.

Impact ya change in population ni generational ! Tunaweza farijika leo kwa kupunguza uzazi wa kina mama kwa kutumia contraceptives matokeo yanakuja baadaye sana wakati sisi hatupo tena kama vile uhaba wa nguvu kazi. Population inatabia ya kujicheck yenyewe, baadhi ya wanazuoni kama Thomas Malthus aliwahi andika ya kwamba hata vita na magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu ambayo huua watu wengi sio laana bali mpango wa mungu wa kudhibiti ongezeko la watu alivyoona yeye. Hata ukame na njaa yeye alisema ni natural check ya population, kwa hiyo ni suala la mtazamo tu na kuchukua njia sahihi ambayo haina madhara mbeleni karne zijazo.
 
This a shame to our nation, yoyote angesema lkn asingekua Raisi wetu, inaonyesha Raisi kwamba hana international exposure.
Nonsense. Unafahamu kwamba sera ya chama tawala nchini marekani The Republicans inakataza uzazi wa mpango? Au kwa vile Rais mweusi wa nchi ya kiafrika kasema mawazo yake kuhusu birth control ndo imekuwa "shame on your country"? Shame on you.
 
Umewahi ishi au tembelea kijijini na ukaona maisha ya watu wanaozaa bila mpango .watoto sita chumba kimoja mlo nusu kwa siku na mzazi anawaficha wasiguse shule? Zaeni kama simbilisi Jiwe atawasomesha na kuwanunulia mpaka pedi
Sio tu kutembelea! Nimekaa kijijini miaka mingi tuu na usemayo sio mageni kwangu ! Suluhisho sio kuwafunga vizazi hao wa mama au kuwalazimisha matumizi ya njia za uzazi wa mpango! Suluhisho ni kuboresha kipato na maisha yao na kuwapa elimu. The question of family planning linakuja automatically when you improve people's lives and educate them. Kwa hiyo ni wajibu wa serikali kuhakikisha inapanga na kutekeleza programu mbalimbali zenye lengo la kunyanyua kipato cha watu (kutoka hicho cha 2$ a day) ili kukidhi mahitaji yao ya chakula na elimu. Vile vile kuboresha Huduma za afya hasa maeneo ya vijijini kwa kujenga zahanati na hospitali ili kupunguza vifo hasa vya akina mama wazazi na watoto wadogo wa chini ya miaka mitano.

Impact ya change in population ni generational ! Tunaweza farijika leo kwa kupunguza uzazi wa kina mama kwa kutumia contraceptives matokeo yanakuja baadaye sana wakati sisi hatupo tena kama vile uhaba wa nguvu kazi. Population inatabia ya kujicheck yenyewe, baadhi ya wanazuoni kama Thomas Malthus aliwahi andika ya kwamba hata vita na magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu ambayo huua watu wengi sio laana bali mpango wa mungu wa kudhibiti ongezeko la watu alivyoona yeye. Hata ukame na njaa yeye alisema ni natural check ya population, kwa hiyo ni suala la mtazamo tu na kuchukua njia sahihi ambayo haina madhara mbeleni karne zijazo.
 
Sio tu kutembelea! Nimekaa kijijini miaka mingi tuu na usemayo sio mageni kwangu ! Suluhisho sio kuwafunga vizazi hao wa mama au kuwalazimisha matumizi ya njia za uzazi wa mpango! Suluhisho ni kuboresha kipato na maisha yao na kuwapa elimu. The question of family planning linakuja automatically when you improve people's lives and educate them. Kwa hiyo ni wajibu wa serikali kuhakikisha inapanga na kutekeleza programu mbalimbali zenye lengo la kunyanyua kipato cha watu (kutoka hicho cha 2$ a day) ili kukidhi mahitaji yao ya chakula na elimu. Vile vile kuboresha Huduma za afya hasa maeneo ya vijijini kwa kujenga zahanati na hospitali ili kupunguza vifo hasa vya akina mama wazazi na watoto wadogo wa chini ya miaka mitano.

Impact ya change in population ni generational ! Tunaweza farijika leo kwa kupunguza uzazi wa kina mama kwa kutumia contraceptives matokeo yanakuja baadaye sana wakati sisi hatupo tena kama vile uhaba wa nguvu kazi. Population inatabia ya kujicheck yenyewe, baadhi ya wanazuoni kama Thomas Malthus aliwahi andika ya kwamba hata vita na magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu ambayo huua watu wengi sio laana bali mpango wa mungu wa kudhibiti ongezeko la watu alivyoona yeye. Hata ukame na njaa yeye alisema ni natural check ya population, kwa hiyo ni suala la mtazamo tu na kuchukua njia sahihi ambayo haina madhara mbeleni karne zijazo.

Kwa hiyo unamini Mungu anaruhusu Kipindupindu+vita kwa watu wake sio?
 
Back
Top Bottom