keepthefaithalive
Member
- Aug 4, 2014
- 44
- 15
Habarini wanajamvi...Kuna kazi zilitangazwa tangu mwezi wa 4 au wa 5 mwaka jana 2014 na Capital Markets Securities Authority CMSA kwa kada mbalimbali kama Financial Analysts II..Planning Officers II..Legal Officers II na nyinginezo!
Sasa baada ya kimya cha muda mrefu hawa jamaa wameita usaili na utafanyika Law School of Tanzania nyuma ya mawasiliano towers tarehe 27 mwezi huu mida tofauti tofauti ila kuanzia saa 2 asubuhi!Majina yapo kwenye The Guardian ya leo!!
NAWASILISHA!!
asante sana kwa taarifa
da yaani watu walikuwa wachache sana waliojitokeza kufanyiwa usaili ila wasimamizi wa hyo intervyuu walisema watatangaza tena na itafanyika kwenye tarehe 10 mwez wa pili
okay,so watatangaza kwa njia gani?watapiga simu?au ndo ile ya gazeti tena the guardian halafu ni siku mbili au tatu kabla ya usaili..maana nakumbuka ile ya kwanza walitoa majina kwenye gazeti siku ya ijumaa halafu j4 ndio usaili hivyo idadi ya applicant kuzoma gazeti ikikupita tu imekula kwako!
Walisema watatangaza kwenye gazeti pia watapiga simu kwa kila mmoja au watatuma SMS
CMSA invites you for interview 11.2.'15, from 8am law School of Tanzania near SIMU 2000 stand Ubungo. Procurement, Legal, Records & HR. Ref. Guardian 23.1.'15Habarini wanajamvi...Kuna kazi zilitangazwa tangu mwezi wa 4 au wa 5 mwaka jana 2014 na Capital Markets Securities Authority CMSA kwa kada mbalimbali kama Financial Analysts II..Planning Officers II..Legal Officers II na nyinginezo!
Sasa baada ya kimya cha muda mrefu hawa jamaa wameita usaili na utafanyika Law School of Tanzania nyuma ya mawasiliano towers tarehe 27 mwezi huu mida tofauti tofauti ila kuanzia saa 2 asubuhi!Majina yapo kwenye The Guardian ya leo!!
NAWASILISHA!!
Mimi Wamentumia email, kuniarika kwenye interview, tar 10.2.2015 kada ya planning officers, wamenieleza pia majina yalitoka kwenye gazeti la the guardian la tar23.1.2015.Naomba source ya hii information...
Mimi Wamentumia email, kuniarika kwenye interview, tar 10.2.2015 kada ya planning officers, wamenieleza pia majina yalitoka kwenye gazeti la the guardian la tar23.1.2015.
Naomba kuuliza wameita wangapi kwenye hiyo interview ya CM&SA KADA YA PLANNING OFFICER ?
PIA MWENYE HILO GAZETI NAOMBA APOST HAYO MAJINA MAANA WENGINE HATUNA ACCESS NA HILO GAZETI HUKU BUSH