stable woman JF-Expert Member Joined Nov 12, 2013 Posts 3,883 Reaction score 4,484 Jul 9, 2014 #41 qn of sheba said: Ukiona baba mzazi unamwambia mwanao "unajua mimi ni baba yako" jua una tatizo.[/QUOTE Teh Teh Teh hilo nalo neno kwa kweli Click to expand...
qn of sheba said: Ukiona baba mzazi unamwambia mwanao "unajua mimi ni baba yako" jua una tatizo.[/QUOTE Teh Teh Teh hilo nalo neno kwa kweli Click to expand...
Sir Good JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 1,031 Reaction score 412 Jul 10, 2014 #42 Mi nilishaacha kuwasikiliza hao wajinga muda mrefu tu baada ya kugundua hawana cha maana wanachotangaza zaidi ya ujinga ujinga tu.
Mi nilishaacha kuwasikiliza hao wajinga muda mrefu tu baada ya kugundua hawana cha maana wanachotangaza zaidi ya ujinga ujinga tu.
TAI DUME JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 10,745 Reaction score 29,219 Jul 10, 2014 #43 kwani mkuu wewe bado under 17 mpk usikilize clauz? mimi niliacha kusikiliza iyo redio tangu enzi za kipindi cha Dakta beat enzi za rehema chalamila
kwani mkuu wewe bado under 17 mpk usikilize clauz? mimi niliacha kusikiliza iyo redio tangu enzi za kipindi cha Dakta beat enzi za rehema chalamila