Clouds wanatufanya wajinga

Mi nilishaacha kuwasikiliza hao wajinga muda mrefu tu baada ya kugundua hawana cha maana wanachotangaza zaidi ya ujinga ujinga tu.
 
kwani mkuu wewe bado under 17 mpk usikilize clauz? mimi niliacha kusikiliza iyo redio tangu enzi za kipindi cha Dakta beat enzi za rehema chalamila
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…