Huyo babla nilikuwa nasikia sauti yake tu,baada ya kumwona mwenyewe duu nilichoka.
Mi nashindwa kuwapata jamani
Wanafanya kitu kizuri
Wanatakiwa wawe wabunifu kwenye vipindi ....
Nani anataka kumuona babra au Gerald au pj au b12 kupitia tv ....ili iwejeeee saaaasaaaaaa....!!!!
Huo ni ufujaji wa muda, rasilimali kwa kuonyesha vipindi vya redion kupitia tv.
Mara mia watuonyeshe mizikiii, movie tu kama wamekosa cha muhimu cha kuonyesha.
Ushauri wangu .
Watumie internet tu kuonyesha vipindi hivyo vya redion.