Clouds TV

Clouds TV

autorun255

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2013
Posts
1,105
Reaction score
364
Clouds fm wamekuwa wakirusha na kuonyesha vipindi vyao vya redioni kupitia tv na mtandaoni.
Nataka kujikita hapa kwenye tv.
Pongezi kwa kutumia kiteknolojia vizuri.

Turudi kwenye mjadala.....
Je clouds tv imekosa mvuto ndo maana wanatumia vipindi vya redioni kuipandisha???!!!!

Kwanza watangazaji wenyewe hawako huru kama wanavyokuwa kwenye redio kabla tulikuwa hatuwaoni.

Je huku ni kukosa ubunifu wa kutengeneza vipindi vyenye mashiko??

Je wanakwepa gharama za kuandeshaji??!!!!
 
Clouds fm wamekuwa wakirusha na kuonyesha vipindi vyao vya redioni kupitia tv na mtandaoni.
Nataka kujikita hapa kwenye tv.
Pongezi kwa kutumia kiteknolojia vizuri.

Turudi kwenye mjadala.....
Je clouds tv imekosa mvuto ndo maana wanatumia vipindi vya redioni kuipandisha???!!!!

Kwanza watangazaji wenyewe hawako huru kama wanavyokuwa kwenye redio kabla tulikuwa hatuwaoni.

Je huku ni kukosa ubunifu wa kutengeneza vipindi vyenye mashiko??

Je wanakwepa gharama za kuandeshaji??!!!!

Clouds hawajielewi
 
Nimewaona leo wanatoa macho kila muda kuangalia caméra kama huyo babra ndo kawa na aibu hâta makeke hakuna tuwape muda wazoee
 
Huyo babla nilikuwa nasikia sauti yake tu,baada ya kumwona mwenyewe duu nilichoka.
 
Wanakosa mvuto na ubunifu kwani wameshakumbatiwa na CCM.

Walileta mbwembwe enzi zile ujanja unapatikana Clouds pekee,lakini siku hizi ila kona wapo zaidi ya clouds.
 
Mi nafikili kuna kitu ulitaka kukiona na hujakipata mi nadhani wapo vizur tu kwenye tv ila uliowaongelea hao ni watangazaji wa tv au redio.mi nadhani jibu unalo mwenyewe.
 
Clouds fm wamekuwa wakirusha na kuonyesha vipindi vyao vya redioni kupitia tv na mtandaoni.
Nataka kujikita hapa kwenye tv.
Pongezi kwa kutumia kiteknolojia vizuri.

Turudi kwenye mjadala.....
Je clouds tv imekosa mvuto ndo maana wanatumia vipindi vya redioni kuipandisha???!!!!

Kwanza watangazaji wenyewe hawako huru kama wanavyokuwa kwenye redio kabla tulikuwa hatuwaoni.

Je huku ni kukosa ubunifu wa kutengeneza vipindi vyenye mashiko??

Je wanakwepa gharama za kuandeshaji??!!!!

Change the channel!
 
wanashindwa kupanga vipindi hambavyo vitakuwa na mashiko kwa watazamaji wa lika lote.
 
Wanafanya kitu kizuri
Wanatakiwa wawe wabunifu kwenye vipindi ....
Nani anataka kumuona babra au Gerald au pj au b12 kupitia tv ....ili iwejeeee saaaasaaaaaa....!!!!

Huo ni ufujaji wa muda, rasilimali kwa kuonyesha vipindi vya redion kupitia tv.

Mara mia watuonyeshe mizikiii, movie tu kama wamekosa cha muhimu cha kuonyesha.

Ushauri wangu .
Watumie internet tu kuonyesha vipindi hivyo vya redion.
 
Nafikiri ni km ulivyosema wanajaribu kuipandisha clouds tv kwa kutumia radio yao
 
Mi nafikili kuna kitu ulitaka kukiona na hujakipata mi nadhani wapo vizur tu kwenye tv ila uliowaongelea hao ni watangazaji wa tv au redio.mi nadhani jibu unalo mwenyewe.

Nachojadili ni kurushwa kwa vipindi vya redion kwenye tv ,
Je wamekosa cha kuonyesha,??!
 
hawana jipya kwanza nlishaacha kulitazama hilo lichannel lao lenye ubaguz kama liredio lao...vipindi.vyao.havigusi rika lote..hwana vipindi vyenye mvuto labda hawajapata watangazaji wabunifu..mbona eatv ni channel ya burudani ila rika lote waweza tazama maana kuna vipindi ambavyo havibagui rika tena vyenye maadili...hakuna maana yeyote vipind.vya redio kuonekana kwenye tv hakuna maana....
 
Back
Top Bottom