Clouds TV Hamjui Kurusha Live

Donkey

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
1,499
Reaction score
1,585
Naangalia sherehe za Uhuru kupitia Clouds TV nashindwa kuelewa jinsi mnavyo rusha matanganzo toka uwanja wa Jamhuri Dodoma.je hamna wapiga picha wenye uwezo wa kurusha tukio halisi kwa wakati badala ya kuganda sehemu moja
 
Wakiganda sehemu moja muda mrefu we hamisha chanel.Hiyo ndo dawa kuliko kulalamika hapa.
 
Wameniboa sana Hawa wazee wa matamasha
 
Naangalia sherehe za Uhuru kupitia Clouds TV nashindwa kuelewa jinsi mnavyo rusha matanganzo toka uwanja wa Jamhuri Dodoma.je hamna wapiga picha wenye uwezo wa kurusha tukio halisi kwa wakati badala ya kuganda sehemu moja
Angalia AZAM TWO kama wanarusha..sidhani kuna tv kwa sasa ipo safi km hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…