Binti Msichana
Senior Member
- Oct 9, 2016
- 109
- 249
Tangu jana kituo cha Radio Clouds katika kipindi chake cha Power Breakfast watangazaji wa kituo hicho wanajadili kukithiri kwa kunguni katika chuo hicho kinachotoa mafunzo ya biashara kilichopo mkoa wa Dodoma.Chuo hiko kina matawi Dar es Salaam na Dodoma.
Hii imekaaje ? Ni busara kwa Siku mbili mfululizo kukiandama chuo hiko kwa taarifa hizi bila ya kuwasiliana na uongozi wa chuo ?
Hii imekaaje ? Ni busara kwa Siku mbili mfululizo kukiandama chuo hiko kwa taarifa hizi bila ya kuwasiliana na uongozi wa chuo ?