Jumaaofficial
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 250
- 210
Kataaaa kuwa Kaa huu u-Kaa wa wakuwasema Clouds Jf ni-Ukaa pia wanao pinga ukaa wachache sana lakini ma-Kaa ndio mengi sana Kaa bwana wanaboa sana.
Tabia za UKAA izoNgoja waje watakuita kaa sasa hivi
Bora nina wenzangu nao wanakerwa.Unajua nilidhani ni mimi pekee ambaye nachukizwa na tabia ya hawa Clouds kujifanya miungu watu, wanafanya mambo ya kiswahili mpaka wanaboa.
Kampeni yao ya kataa kuwa kaa nilidhani inalenga kuwaunganisha vijana wapeane dili, rakini baada ya Makonda kuwatembelea kuwapa pole, basi wakabadilisha mpasho unaoendana na ugeni huo na kuanza kusema Mashetani tunaishi nayo, yanajifanya mema, niliposikia upuuzi huu, niliamua kunadili stesheni nianze kusikiliza R.F.A japo namkosa Fredwaa aliyekuwa amenifanya nimfate Clouds, muda mwingi niliamini Ruge ni akili kubwa rakini nimeelewa kwanini wanasema ukishindwa kuweka pamoja familia yako, basi usitegemee kuwa mwanaume wa maana.
WapumbavuUshauri mzuri mkuu, maana si mchana si usiku, kaaa...kaaa...kaaa ! ..aaagh !
Tune TBC Taifa sauti ya nyikaniUkifungua redio Clouds kutwa ni kulalamika tuu....kaa kaaa, usiwe kaa usiwe kaa, tubebaneee tubebanee !
Alivyovibeba Ruge inatosha bana mnatokera wasikilizaji wenu na vijembe na mipasho isiyoisha !
Acheni uswahili baana !
Kaa ni mdudu jamii ya Kiroboto huwa anategemea wanyama ili aishi (Yaani ananyonya damu)Mi nahitaji kujua maana ya kaa