cai JF-Expert Member Joined Jan 25, 2012 Posts 1,351 Reaction score 1,330 Mar 8, 2017 #41 Kapiga atafutiwe kipindi kingine sio kusoma habari, mbona kuna wale wadada wanapiga poa tu
Squidward JF-Expert Member Joined Jul 21, 2014 Posts 8,386 Reaction score 10,458 Mar 8, 2017 #42 Jackline Kombe kama upo humu niPM nikupe zawadi yako
ivunya JF-Expert Member Joined Sep 18, 2015 Posts 2,290 Reaction score 2,230 Mar 8, 2017 #43 Clouds waendelee na kutangaza music ya mwendo kasi
Mkaruka JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 19,933 Reaction score 34,912 Mar 8, 2017 #44 Confused Admirers - Mnaitukana Clouds kila siku lakini HAMUACHI KUINGALIA - Nyumbuu
Jimmy George JF-Expert Member Joined Nov 28, 2016 Posts 1,733 Reaction score 1,650 Mar 8, 2017 #45 Habari ni ITV ikifuatia na STAR TV wengine hamna kitu
P profesional worshiper JF-Expert Member Joined Dec 23, 2016 Posts 536 Reaction score 387 Mar 8, 2017 #46 Hilo ni tawi dogo,la TBC.
Yusuph Hashim Senior Member Joined Feb 22, 2014 Posts 111 Reaction score 133 Mar 8, 2017 #47 stormed said: hiyo s radio.LUMUMBA Click to expand... Teh teh teh
mr vata JF-Expert Member Joined Jan 30, 2017 Posts 465 Reaction score 617 Mar 8, 2017 #48 Yaani mtu unataka kuangalia taarifa ya habari una tune clouds tv kweli? Hivi chanel ambazo ziko serious hamzioni?
Yaani mtu unataka kuangalia taarifa ya habari una tune clouds tv kweli? Hivi chanel ambazo ziko serious hamzioni?
M mtoto wa mjini JF-Expert Member Joined Jan 18, 2010 Posts 1,754 Reaction score 902 Mar 8, 2017 #49 Kwa taarifa ya habari hakuna kama Azam TV
Kingdom Animalia Member Joined Jan 26, 2017 Posts 63 Reaction score 69 Mar 8, 2017 #50 Mangi flani hivi said: Achaneni na kilauzi jamani, fanyeni mambo ingine.... Click to expand... Wambie Baba syo kila Jambo ni kujadili kwana Amelazimishwa kuangalia Habari Clouds....
Mangi flani hivi said: Achaneni na kilauzi jamani, fanyeni mambo ingine.... Click to expand... Wambie Baba syo kila Jambo ni kujadili kwana Amelazimishwa kuangalia Habari Clouds....
epy Senior Member Joined Mar 1, 2014 Posts 102 Reaction score 40 Mar 8, 2017 #51 hmjamii said: Habari! Hivi clouds TV hamna wasomaji wengine? Kila Leo Kapiga Kapiga, mnakera sana yaani hata ukiona tu msomaji ni yeye hamu ya Habari inaisha. Jirekebisheni basi, mtu mwenyewe huyo msomaji wa kila siku anajifanya anajua kuliko yeyote. Click to expand... Kasome wewe bado!
hmjamii said: Habari! Hivi clouds TV hamna wasomaji wengine? Kila Leo Kapiga Kapiga, mnakera sana yaani hata ukiona tu msomaji ni yeye hamu ya Habari inaisha. Jirekebisheni basi, mtu mwenyewe huyo msomaji wa kila siku anajifanya anajua kuliko yeyote. Click to expand... Kasome wewe bado!
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,349 Reaction score 829,495 Mar 8, 2017 #52 Shunie said: si ubadilishe uangalie ata taarifa ya chanel ten lazma iwe clouds tu kama wanakuboa Click to expand... Shunie huyo katoa ya moyoni mama
Shunie said: si ubadilishe uangalie ata taarifa ya chanel ten lazma iwe clouds tu kama wanakuboa Click to expand... Shunie huyo katoa ya moyoni mama
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,349 Reaction score 829,495 Mar 8, 2017 #53 chief zuma said: Kapiga namkubali sana Click to expand... Kapiga?
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,054 Reaction score 463,971 Mar 8, 2017 #54 mshana jr said: Shunie huyo katoa ya moyoni mama Click to expand... umepotea mshana