Nobody knows tomorrow
Member
- Jul 14, 2011
- 22
- 2
Nimekuwa nikisikilize hiki kituo kwa muda sasa na kitu nilichogudua ni kwamba sio management yake wala wafanyakazi wengine wote hawako na nia ya kitufikirisha kuhusu maswala makubwa yenye maslahi mapana ya watu kama wao wanaojitambulisha na wanavojipambanua; zaidi ni kupromote mambo yasiyo ya msingi kabisa mara Wema, Diva sijui gossip na fiesta yaan basi tu almradi wawakamue wamachinga vielfu kumi vyao.
Kifupi wanatumia mwavuli wa burudani kuwatoa watu kwenye malengo, ingawa burudani yenyewe ni uhuni tu na watz tusivyo na akili wanatusomba huku Rais akiendelea kuuza nchi.
MASKINI TZ
Kifupi wanatumia mwavuli wa burudani kuwatoa watu kwenye malengo, ingawa burudani yenyewe ni uhuni tu na watz tusivyo na akili wanatusomba huku Rais akiendelea kuuza nchi.
MASKINI TZ