kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,696
- 2,159
Nipo ukonga DSMUnaandika kutokea wapi. Shida itakuwa ulipo
Dah umenikumbusha banana bar. Mkuu mimi huku ninakoishi hakuna radio yoyote inashika, nimeishazoea sitaki redioNipo ukonga DSM
Nipo ukonga DSM
Itakulazimu upakue app ya radio, usikilize kupitia internet. Wapi huko mkuu?Dah umenikumbusha banana bar. Mkuu mimi huku ninakoishi hakuna radio yoyote inashika, nimeishazoea sitaki redio
Hahahahaa haya bhana.Sema nyuma ya kitunda
Umeandika uzi wako ukiwa wapi mkuu?Waungwana clouds FM kimewatokea nin? Mbona haina nguvu kama zamani? Namaanisha frequency zao siku hiz zipo chini sana uki tune station yao inafokafoka tu. Yaani kwasasa wanaopatikana bila kuinua antena ni RFA wasafi na TBC. Wakati mwanzo wao ndio walikua wanapatikana bila kuinua antenna.
Ni kweli kabisa mm nipo kunduchi dada hivi sio rahisi kuipata cloudz kwenye usikivu mzuri.Nipo ukonga DSM
Ukonga DSMU
Umeandika uzi wako ukiwa wapi mkuu,?
Inabidi wafanye uchubguzi wa haraka isijekuwa wameshafanyiwa figisu za kibiasharaNi kweli kabisa mm nipo kunduchi dada hivi sio rahisi kuipata cloudz kwenye usikivu mzuri.
Sijui imekua je siku hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo nimetoa kama mfano kuonyesha vile ugumu uliopo ktk kupatikana kwa sasa tofauti na zamani.Kwani kwanini hutaki kuinua antenna Kinjumbi?
Nilikuwa mkoa wa rukwa mwezi uliopita clouds kupatikana ni shida kwakweli,Waungwana clouds FM kimewatokea nini? Mbona haina nguvu kama zamani? Namaanisha frequency zao siku hizi zipo chini sana uki tune station yao inafokafoka tu. Yaani kwasasa wanaopatikana bila kuinua antena ni RFA wasafi na TBC. Wakati mwanzo wao ndio walikua wanapatikana bila kuinua antenna.
Hivi ni app gani naweza tumia kusikiliza radio online maana nyingi nilizojaribu kila nikifungua nakuta radio zipo offline