Tangu jana mchana ni miziki mfululizo hakuna program hata moja ya vipindi vyake vya kawaida inayoendelea.
Ni mziki mwanzo mwisho
Ni tatizo au wamefukuza watangazaji wote?
Tangu jana mchana ni miziki mfululizo hakuna program hata moja ya vipindi vyake vya kawaida inayoendelea.
Ni mziki mwanzo mwisho
Ni tatizo au wamefukuza watangazaji wote?
Ktk maisha yako epuka kutoa majibu ya jumla jumla,unajua clauds wana kanda ngapi za matangazo yao?
Ok,huku Arusha tangu jana ni miziki tu lete majibu kama unayo.
Ktk maisha yako epuka kutoa majibu ya jumla jumla,unajua clauds wana kanda ngapi za matangazo yao?
Ok,huku Arusha tangu jana ni miziki tu lete majibu kama unayo.