Kama wanadhani huu mjadala hauna manufaa kwao wasingerusha matangazo hayo eti tu kwamba ni chombo binafsi. Nawe acha hypocrisy kwenye mambo ya kitaifa
We vitu silliasi namna hii unasikiliza kupitia Clouds? we mwenyewe ni tatizo inabidi ubadilike kwanza wewe,hao hawako silias na mambo ya maana,mambo yao ni ya udaku udaku, umbea na uchochezi.
Achana nao na badilika kuanzia sasa!
Clouds FM ni wapumbavu tu...utawala ukibadilika watapotezwa sokoni wangese hao
yaaani unasikiliza clouds unaakili kweli..??? sikiliza radio za mengi, capital radio, redio one.
huku ipo hiyo tu radio 1 hakuna