Mnakera hadi kinyaa kukata matangazo ya moja kwa moja bungeni. Yaani John Cheyo anazungumza ninyi mnaweka matangazo?! SHAME ON YOU
Usifundishe kuendesha vipindi vyao bana hujui kuwa matangazo ndiyo yanaendesha redio?Mnakera hadi kinyaa kukata matangazo ya moja kwa moja bungeni. Yaani John Cheyo anazungumza ninyi mnaweka matangazo?! SHAME ON YOU
Haya ndiyo hatuyataki kabisaaa katika nchi yetu. Mambo ya visasi huko huko, unafikiri Redio Clouds hawako kisheria mpaka uwapoteze?Clouds FM ni wapumbavu tu...utawala ukibadilika watapotezwa sokoni wangese hao
Ukisema hivyo basi ITV na Redio One ni feki zaidi, MENGI anavitua vibaya sana vyombo vyake kuwanyanyasa watanzania wasiyo wachaggaHata wwatangazaji wao hjawako serious na hiyo redio si ya wale wa kulekule waliogawana huo mzigo
Haya ndiyo hatuyataki kabisaaa katika nchi yetu. Mambo ya visasi huko huko, unafikiri Redio Clouds hawako kisheria mpaka uwapoteze?
Ukisema hivyo basi ITV na Redio One ni feki zaidi, MENGI anavitua vibaya sana vyombo vyake kuwanyanyasa watanzania wasiyo wachagga
Hata wwatangazaji wao hjawako serious na hiyo redio si ya wale wa kulekule waliogawana huo mzigo
We vitu silliasi namna hii unasikiliza kupitia Clouds? we mwenyewe ni tatizo inabidi ubadilike kwanza wewe,hao hawako silias na mambo ya maana,mambo yao ni ya udaku udaku, umbea na uchochezi.
Achana nao na badilika kuanzia sasa!