Clement mzize, sio level ya kucheza yanga.

Wana big data ya kila wachezaji. Wanachu guza mwenendo mzima wa wachezaji. Wanaofanya anslysi ya kina na wanawatumia wachezaji wakongwe kujiridhisha.
Mwandishi wa habari ndio mtu sahihi wa kuamuamini kuliko mshabiki anaeongozwa na mihemko ya kishabaki.
Jana Nabi Kampa teba Mzize nafasi dhidi Galant na kucheza vizuri. The boy is upcoming monster.
 
huyo dogo tangu amemkataa Yesu, limebaki galasa, hawezi kufika mbali. hata singida stars sio level yake labda ndodo huko ndio akacheze.
 
Uko sahihi
 
Leo amejitahidi kupiga shuti moja on target kwa mguu wa kushoto. Sema tu ndiyo hivyo, hakuwa na bahati.

Lakini pia aendelee kupunguza papara na kupenda back passes. Kuhusu nguvu na spidi uwanjani, yuko vizuri.
 
ni mz
Leo amejitahidi kupiga shuti moja on target kwa mguu wa kushoto. Sema tu ndiyo hivyo, hakuwa na bahati.

Lakini pia aendelee kupunguza papara na kupenda back passes. Kuhusu nguvu na spidi uwanjani, yuko vizuri.
ni mz
Leo amejitahidi kupiga shuti moja on target kwa mguu wa kushoto. Sema tu ndiyo hivyo, hakuwa na bahati.

Lakini pia aendelee kupunguza papara na kupenda back passes. Kuhusu nguvu na spidi uwanjani, yuko vizuri.
ito mno, anatembea kama gogo. hastahili kucheza yanga yule
 
Awe beki sio?
 
Good thinking, though he is drive and energy positioned to terrorise the opponents
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…