PostGE2025 Clemence Mwandambo: Nimempigia Kura Samia, Familia yangu haikushiriki maandamano Oktoba 29, 2025

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Huyu mzee hayuko sawa kabisa ni kama vile amechanganyikiwa
 
Mwandambo bado yupo
Angalau wewe umemsoma! Ni mjanja sana. After all wengine tunapenda mtu anayeeleza ukweli wa makosa wayafanyao viongozi wetu. Awe CCM au nije ya CCM. Tunataka mtu ambaye anayeeleza akiwa na sober mind, asiwe biased. Hicho kiatu kakivaa mwanandimbo
 
Thamani yake na umaarufu wake upo kwenye contents zake, He will go down kama wengine walivyokwenda chini
 
Thamani yake na umaarufu wake upo kwenye contents zake, He will go down kama wengine walivyokwenda chini
 
Sasa huyo mwalimu wa chekechea atatushauri nini sisi na madigirii yetu?
Yeye ahangaike na kumpa ushauri mkewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…