Nimeshangazwa sana na radio ya Clouds kupewa tuzo ya superbrand wakati regulator analalamikia kituo kirusha content ambazo hazikubaliki kijamii. Je hiyo tuzo wamepewa kihalali?
Ninazohisia kwamba mpaka kufikia kupigwa fine lazima wameshatoa onyo za kutosha kabla ya kuwatoza fine, so hii tuzo imefuata utaratibu wake kweli?
Hivi super brands nini? Vigezo vyake ni vipi? Je kina nani wanatoa maoni ya nani bora zaidi?
Kama jibu ni jamii inayosikiliza radio ama tv au product iliyoingizwa kwenye kinyanganyiro, ni njia gani wanayotumia kupata hayo maoni?
Kama ni kwa njia ya inTerview simu na mitandao ya jamii, kama ndivyo naamini walipita hapa JF.
Hapa JF malalamiko dhidi ya chombo hicho ni mengi saaaaana ikifuatiwa na radio Iman ya morogoro.ambayo nayo imeadhibiwa.
Swali: je CloudsFM wanastahili kweli kupewa tuzo ya super brands? Na Kwa nn sio Radio One, EARadio, Magic, radio free africa, etc?
Tujadiliane kwa uwazi na kwa upana wake.
Ninazohisia kwamba mpaka kufikia kupigwa fine lazima wameshatoa onyo za kutosha kabla ya kuwatoza fine, so hii tuzo imefuata utaratibu wake kweli?
Hivi super brands nini? Vigezo vyake ni vipi? Je kina nani wanatoa maoni ya nani bora zaidi?
Kama jibu ni jamii inayosikiliza radio ama tv au product iliyoingizwa kwenye kinyanganyiro, ni njia gani wanayotumia kupata hayo maoni?
Kama ni kwa njia ya inTerview simu na mitandao ya jamii, kama ndivyo naamini walipita hapa JF.
Hapa JF malalamiko dhidi ya chombo hicho ni mengi saaaaana ikifuatiwa na radio Iman ya morogoro.ambayo nayo imeadhibiwa.
Swali: je CloudsFM wanastahili kweli kupewa tuzo ya super brands? Na Kwa nn sio Radio One, EARadio, Magic, radio free africa, etc?
Tujadiliane kwa uwazi na kwa upana wake.