Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,562
- 217,879
Timu ya Fulham inayoburuza mkia kwenye msimamo wa ligi kuu ya England imemtimua kocha wake Slavisa Jokanovic baada ya kuambulia pointi 5 tu katika mechi 12 , nafasi yake imechukuliwa na Mkongwe Cloudio Ranieri .
Kumbukumbu zinaonyesha kwamba Slavisa Jokanovic was Claudio Ranieri's first signing as Chelsea Manager in october 2000
Kumbukumbu zinaonyesha kwamba Slavisa Jokanovic was Claudio Ranieri's first signing as Chelsea Manager in october 2000