Civil Engineering job

Haiko hivyo mkuu, unless hauko serious. Wakati mwingine unaweza hata uko registered na erb na bado usipate mshahara unaotaka wewe. Mimi nilianzaga na 350 tu.
Think twice.

Mkuu ulikua uko seap or
 
Umeona mkuu ni bora nikae nyumbani , am not worthing laki 4 ina maana rate yangu ni 1666 per hr

Brain power inayotumika ku design sio sawa na ambayo inatumika kushika chaki class

You deserve more mkuu.Civil ni shughuli pevu
 
Umeona mkuu ni bora nikae nyumbani , am not worthing laki 4 ina maana rate yangu ni 1666 per hr
Kwa mfano wewe na ufresh from school wako utachangia nini kwa mwajiri wako zaidi ya kufundishwa kazi tu, we kwa sasa huna ulijualo zaidi ya theory za madesa tu. Mi nakushauri kubalin aina yoyote ya mshahara ili ujifunze kazi ili mwisho wa siku uzoefu utakaoupata uweze kukupa hcho kiburi cha kuidharau laki nne.
 
vietel ndio akina nani... msaada mkuu

Ni genge la wahuni kutoka Vietnam lina husu mtandao wa simu ambao utakuwa hewani kuanzia agust kuna fibre optic cable wanasambaza nchi nzima overhead na underground depend na geographical ya eneo.
 
Nenda Sudan utapata tz lazima upitie saidia Fundi miaka kumi kwa salary ya 10000,utakula jeuri yako
 
Tatizo wabongo hawapendi kujitolea ndio tatizo .Kumbuka watu wapo mtaani na vyeti vyao vya engineering kaka usidharau kazi
 
Usidharau kazi maana kuna wengine wanatafuta hata ya elfu kumi hawapati ww unaedharau laki nne sijui umelelewa kwenye mazingira gani
 
hiyo laki nne ni kwakuanzia mkuu hebu jaribu na uanza kazi, au nawewe ni wale wenye mawazo ya kumiliki IST after a year.??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…