Inawezekana kutumia rimoti ya mtu mwingine lakin mbaka uiconvert iyo rimoti kwenda kwenye mita namba yako,cha kuzingatia rimoti ziwe za aina moja mfano kuna mita za wasion lakini upande wa rimoti ziko za aina mbili kuna RF na PLC,na kwenye RF hapo kuna ambazo upande wa juu kushoto kuna kialama cha
na zengine hazina alama cha
,kwahiyo cha kuzingatia wakati unaconvert uconvert plc kwa plc,Rf kwa Rf kama yenye
kwa yenye
,kama haina
kwa ambayo haina
nyenzie nadhani nitakuwa nimeeleweka kidogo,kama utaitaji namba za kuconvetia ni pm maana mita zinazotumia rimoti ziko za haina mbili kuna Wasion na Enhemeter na namba zake za kuconvetia ziko tofauti asante